Wanaume stress tupu!!

Wanaume stress tupu!!

wanaume stress tupu jaman unampenda mtu anakudanganya anakupenda kumbe mko kama 6 hivi mnatumika tu, mwenzenu nimechoka na hiii hali bora kuridhishana sisi kwa sisi kwa mwana dada alietayari ani PM tupeane maraha wenyewe tutapasuka vichwa bure atakae penda lakini sijawalazimisha mie, kwa mdada alietayari ani PM please tutafutane
Liwalo na liwe,kila mtu atabeba mzigo wake,kwanini nipate taabu kwa kuogopa ulimwengu utasema nini?Anna nitafute pleeeease
 
Sasa dada yangu huko unakotaka kwenda unadhani napo hakuna stress au cheaters?
Je unayajua madhala ya homosexual?, kwa harakaharaka ngoja nikupe side effect ya huko unakotaka kwenda
1.Kutokuwa na hamu ya tendo na mwanaume hata kama utaolewa
2.Kuchelewa au kutokuolewa kabisa na hii inaweza kukupelekea kutopata mtoto kabisa
3.Lifetime stress, sasa hapa ndipo utapata stress za ukweli na uhakika ujue kuna wakati huwa binadamu tuna tamani kuwa na familia especially watoto wa kuzaa, kwa kuwa we muda wako utakuwa umeutumia kwenye u lesbian hutapata watoto ndipo stress za ukweli zinapo kuja. Hakuna raha hapa duniani kama kuitwa baba,mama,mke au mme wangu
Ushauri wangu kwako we ni bora ukaapembeni ya mahusiano kwa sasa mpaka utakapopata aliye tayari to take you home as a wife


nitamjuaje mme bora kwangu coz hakuna mtu anaependa kudanganywa, haya anakwambia nakupenda unamwamini kwa kumuona anakupenda na kukupa mapenzi yote kumbe anamambo ya kichini chini, sasa nitakua mtu wa kutumiwa mpaka lini maana mimi sijaona mwaminifu ananipenda ndio lakini anamahusiano kwingine je nitabadilisha wanaume mpaka lini, bora mwanamke mwenzangu tupeane raha wenyewe tu
 
Liwalo na liwe,kila mtu atabeba mzigo wake,kwanini nipate taabu kwa kuogopa ulimwengu utasema nini?Anna nitafute pleeeease

umeona eeeh kwani kitu gani bwana hatutakuwa wa kwanza bwana
 
Hahahahaha lol! Dena Amsi, una zake nini!? :majani7::majani7::majani7::majani7:

Wewe kweli uchizi umeshaupata yaani unataka usagane na mwanamke mwenzako kutatua tatizo la mwanaume wako??

Hovyo kabisa .....nina zako.............
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana nawe wanaume wengi ni pasua vichwa, lkn una uhakika gani huyo Mdada utakaye mpata sio pasua kichwa?

Siwezi comment kuhusu gay relationship kwani sina ninachokijua, lkn ni kinyume na mpango wa Mungu. Bora kuwa mwenyewe kuliko kuwa na stressful relationship.
 
Heheheiya kwa raha zenu kwani nn bana we only live once....
Liwalo na liwe,kila mtu atabeba mzigo wake,kwanini nipate taabu kwa kuogopa ulimwengu utasema nini?Anna nitafute pleeeease
 
khaaaaaaaaaaaa, wanaume mpo????
Tobaaaaaa
tupo....namshangaa mwenzenu kaenda kichwa kichwa kaparamia kambale limemponyoka sasa anaona wanaume wote sumu kumbe tupo watulivu kama sisi mshaurini huo mchezo siyo mzuri atulie ni upepo utapita achague kwa makini sasa baada ya kujeruhiwa. hata sisi tulikutana sana na koroma kabla ya kupata nazi yenyewe
 
wanaume stress tupu jaman unampenda mtu anakudanganya anakupenda kumbe mko kama 6 hivi mnatumika tu, mwenzenu nimechoka na hiii hali bora kuridhishana sisi kwa sisi kwa mwana dada alietayari ani PM tupeane maraha wenyewe tutapasuka vichwa bure atakae penda lakini sijawalazimisha mie, kwa mdada alietayari ani PM please tutafutane
pole sana lakini kutoka na mwanamke mwenzio ndio suluhu? je tutajuaje kama wewe si tatizo? tulia utapata atakaye kupenda kweli. sidhani kama hao wanawake wenzio uta zaa nao.
pole sana
 
wanaume stress tupu jaman unampenda mtu anakudanganya anakupenda kumbe mko kama 6 hivi mnatumika tu, mwenzenu nimechoka na hiii hali bora kuridhishana sisi kwa sisi kwa mwana dada alietayari ani PM tupeane maraha wenyewe tutapasuka vichwa bure atakae penda lakini sijawalazimisha mie, kwa mdada alietayari ani PM please tutafutane
Pepo shindwa kwa jina la Yesu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom