Wanaume stress tupu!!

Wanaume stress tupu!!

Mwalimu umetoa ushauri mzuri sana! Mimi nimejificha hapa nje ya darasa naangalia!

Natumaini mtoa mada amepata funzo kwani watu wametoa ushauri wa kutosha.

AshaDii umenena vyema sana ila jamani naombeni nifunguke hapa kiualimu na chonde chonde mods msifute hii post wala kunilima ban lolest!

kwanza kabisa naomba nigeuke upande wa pili wa mtoa mada sitojadili kabisa matatizo ya wanaume ama ya upendo kwani waliotangulia wamesha sema.

dada hapo kinachokuongoza wewe ni hasira tena ambazo umezielekeza kwenye kutiwa kuliko kwenye kutafuta suluhu ya tatizo lako. umeweka moyo wako kwamba nimkomoe huyu bf kwa kupata mwenza ambaye atanipa raha tu na si kitu kingine zaid.

unapotamani kusagana na mwenzio kisa maudhi ya mwanaume nakutafsiri kwa namna mbili kwamba huyo mwanaume hakuwa anakutia vizuri so unataka kujaribu kutiana na msichana mwenzio ili upate raha stahiki na upande mwingine nakutafsiri kwamba ni tabia yako ya kusagana sasa gf wako wote wameshaondoka kundini so unataka ingizo jipya.

naamin katika furaha ya mtu ila siamini katika kupata furaha kinyume na taratizbu ambazo zimezoeleka na zinazoleta hisia mbaya maskioni mwa mtu. ni kweli kwamba utatumia dildo, mtasuguana visimi mtanyonyana nyuchi nk lkn ukasahau kwamba mwisho wa siku ungependa kuwa mahusiano ambayo hata mtu akikukuta mahali hata uliza kwann iko hivi. leo hii ukitoka na bf wako hata mkilaliana hadharani watu wataona poa tu ila ukiwa na msichana mwenzio mkakaliana kiasara tayari unageuka kuwa dar gumzo. kwangu mm huu ni ujinga na badala ya kujipa raha unajinyanyasa mwenyewe. mahusiano yasiyokuwa na amani bado ni mateso badala ya kuwa na raha. huwez ukarudi kwenu ukamwambia baba eti huyu ndo mume wangu (female) dah! sipat picha kwamba hata tu wazazi wako kuhisi kitu hicho kama utakuwa na amani nacho.

acha kuelekeza mawazo yako kwenye starehe ya kunyonywa kisimi na elekeza mawazo yako kwenye kupata amani nafsini iletayo raha. kukwaruzana kupo na hapo inakupasa ujifikirie unapitaje hapo na sio kufikiria kuuendea ubaya.

nisameheeni kwa kutumia lauagha ngumu.ila mwl huwa hana njia rahisi ya kuelewesha zaid ya kutumia mifano migumu.
 
Last edited by a moderator:
...Nimekuelewa Mkuu ila ni uchokozi wa BAK tu lol!..halafu hao wasagaji wakimbore atarudi tena kwa njembas 🙂🙂

HA ha ha ha kaniudhi sana huyu Anna wanaume wote hawa walivyojazana mtaani eti ukasagane??? Ujinga gani huu. Taksida imetumika BAK
 
iv ndo yule asiyekuridhisha!!hmmmmm
 
Naomba kwanza tusimjaji kutokana na mada yake. Cha msingi tujue kwanza umri wake. Tukishajua hilo itakuwa ni rahisi kwa wana jf kumsaidia. Yawezekana huyu akawa amekurupuka na maamzi ambayo ameyaokota mtaani au kwenye vijiwe/picha za ngono na kuhisi kufanya hivyo inaweza kuwa suluhu ya kutohitaji mwanaume. Ama la tuwaombe; Asha dii, Binti.com, Nivea, Natalia, Ciello, (lara 1 fupa lililoshindikana), Madame B, Smile (kama umesharejea toka msibani), na woooote vikungwi wa humu ndani mu PM ili mkae nae mmsaidie ki saikolojia zaidi.
 
da.Tanzania inazidi kualibika sijui tuwafiche wapi watoto wetu..hivi hamuonagi hata wivu wenzenu wakiwa wanao au kuloewa?
 
Akili yako changanya na ya mwingine, watu wadau wametoa ushauri mzuri kiasi kwamba siwezi ongezea. Kilichobaki ni wewe kuamua. Na uanpoa anua kuwa makini na uamuzi wako usije msingizia shatani mambo yatakapo kuwa sivyo ndivyo wakati.................
 
Tatizo ni kuwa wanaume sio wawazi... Ni kazi sana kujua mwanaume anakupenda kiasi gani, labda utumie vigezo vya nama anakujali na muda uliokuwa nae. Sababu at the end of the day wanaume tofauti na wanawake, hawezi kuwa na mwanamke sababu tu anamuonea huruma kuachana nae, suala ambalo kwa mwanamke inawezekana. Labda wavulana wengi unaweza jua kama anakupenda (sasa haya nayo ni mapenzi ya kitoto). Kujua kuwa Mwanaume anakupenda inahitaji umakini sana... Juu ya mambo mengi.

Mathcom na hata mwanaume akikupenda haina maana hawi na mpango wa pembeni... Possibility wa kuwa nao upo pale pale. Ila namna gani anachukulia huo mpango wa pembeni ndio inaweza kutoa kigezo to what extent akupenda. Kuna mwingine ni mpuuuzi kiasi kwamba anaweza acha hawara aende fanya fujo kwa mkewe na asifanye kitu, na mke pia usifanye kitu na mapenzi na hawara kama kawa... so kimsingi vitu vya kuangalia ni vingi sana.

AD unaweza kutujuza in detail hapo kwenye nyekundu, please?
 
Tatizo ni kuwa wanaume sio wawazi... Ni kazi sana kujua mwanaume anakupenda kiasi gani, labda utumie vigezo vya nama anakujali na muda uliokuwa nae. Sababu at the end of the day wanaume tofauti na wanawake, hawezi kuwa na mwanamke sababu tu anamuonea huruma kuachana nae, suala ambalo kwa mwanamke inawezekana. Labda wavulana wengi unaweza jua kama anakupenda (sasa haya nayo ni mapenzi ya kitoto). Kujua kuwa Mwanaume anakupenda inahitaji umakini sana... Juu ya mambo mengi.

Mathcom na hata mwanaume akikupenda haina maana hawi na mpango wa pembeni... Possibility wa kuwa nao upo pale pale. Ila namna gani anachukulia huo mpango wa pembeni ndio inaweza kutoa kigezo to what extent akupenda. Kuna mwingine ni mpuuuzi kiasi kwamba anaweza acha hawara aende fanya fujo kwa mkewe na asifanye kitu, na mke pia usifanye kitu na mapenzi na hawara kama kawa... so kimsingi vitu vya kuangalia ni vingi sana.

ikifikia mwanaume anakuonyesha wazi kwamba ana kimada pembeni au anaongea nae hata akiwa nyumbani basi
hapo kuna tatizo, lakini kama mwanamke unabidi upigane kumrudisha mwanaume katika hali yake ya kawaida, wakati
mwengine, usikute mwanamke ndie chanzo! unajifanya busy, humpeti2 humpikii vihanjumati.....
 
Haya ni matokeo ya sisi wanawake kukosa haki zetu baada ya wanaume ku-opt kuhudumiana wenyewe kwa wenyewe. Inashangaza wanaume wamefikia mahali kutuona hatuwatimizii mahitaji yao hadi kuanza kuwatafuta mashoga!!!

Haya sasa mengine hayooo!
Jamani sasa sijui tuanzie wapi ili tuweze kurekebisha jamii yetu, watu wazima wenzangu njooni basi.....
 
wanaume stress tupu jaman unampenda mtu anakudanganya anakupenda kumbe mko kama 6 hivi mnatumika tu, mwenzenu nimechoka na hiii hali bora kuridhishana sisi kwa sisi kwa mwana dada alietayari ani PM tupeane maraha wenyewe tutapasuka vichwa bure atakae penda lakini sijawalazimisha mie, kwa mdada alietayari ani PM please tutafutane

Nikikumbuka trend ya threads zako, natamani siku moja nionane nawe uso kwa uso... tujadiliane..
 
Sawasawa wanaume ni chachu na chanzo wasababidhaji wa usagaji hakuna ubishi
 
Umeongea vizuri sana mkuu,
Mimi labda niwatoe woga tu wanawake, ni kwamba wanaume wakipenda wanapenda kweli tena kwa moyo wote ila shida
iliyopo ni kupenda mmoja tuu katika life yake, hii inakuwa kama vile hajazitumia vizuri neema zilizopo (si vyema hata hivo)!
Lakini hali hii huenda inapungua siku hadi siku, akifikia kwenye (40-45) wengi huwa wanaanza kutulia na kuhudumia familia
zao ikiwa ni pamoja na kuhangaikia maakazi ada za shule n.k.
Ushauri
Kama upo kwenye uhusiano na mwanamme anakupenda mnapendana, endeleeni kupendana na jaribu kumuweka karibu
kisaikolojia hata ukihisi kuna kimada pembeni, usijaribu kumkorofisha utampoteza, na hata ukipata mwengine ni hayo2
na labda wa mwanzo anaweza akawa nafuu !!
Ukishindwa yote haya basi tafuta mzee, utapata akiwa ametulia, ila sijui kama utayapata vyema mambo yaleeeeeeee!!
hapo kwenye red umenichanganya kidogo, ndo kusema wenzetu mna mioyo mingi? kama kila mmoja unampenda kwa moyo wote basi unahitaji mioyo mi3 kupenda wanawake wa3
wewe sema tu kuwa mna uwezo wa kuzuga kupenda kwa moyo wote kumbe hakuna kitu........
kuna ambao wanaambulia asilimia 0 kwenye huo mchanganuo wa kupendwa
 
Nikikumbuka trend ya threads zako, natamani siku moja nionane nawe uso kwa uso... tujadiliane..
Tuko, siyo kujadiliana tu, u-provide na solution kabisaaaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Kuna zile thread ukianzisha unakua umeingia rasmi kwenye kundi la vilaza wa mmu,hii ni mojawapo.
 
Bi dada sema baadhi ya wanaume, si wanaume wote wana tabia kama hizo.
wengine tuna mateja yetu!akha!twanuna tu usingizi ukitupitia,kisa umetupunguzia muda wa kuangakia macho!LOL!
AHSANTE SANA MUNGU WANGU KWA KUNIUMBA NA KUNIPA BARAKA YA KUUFURAHIA UANAMKE WANGU KIASI HIKI!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom