Wanaume Single mnasubiria nini?

Wanaume Single mnasubiria nini?

MysweetL

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2020
Posts
314
Reaction score
340
Jamani wanaume ambao hamjaoa shida nini? Zamani ilikuwa mnasingizia tunapenda hela na sasa mnasingizia corona, hii hali ya kuishi wenyewe hamchoki?

Just imagine everytime unafanya vitu mwenyewe kupika, kufua, kuosha vyombo na ukiumwa hakuna wakukisaidia majukumu yote hayo.


Hamuoni ni muda wa kutulizana na kupata msaidizi?

Tuchambue hili jambo; mnakwama wapi?
😁🤗
 
Mkuu, kupika kuosha vyombo na vingine sio kazi ya wasichana ni kazi ya jinsia yeyote tu

Kuoa ni kuongeza gharama ambazo mhusika hujitakia, Pamoja na stress na kupata magonjwa ya ajabu.

Ndio maana wengi huamua kutafuta watoto tu ndoa hapana.

Kumbuka maisha yamebadirika sio Kama zamani mwanamke lazima uolewe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, kupika kuosha vyombo na vingine sio kazi ya wasichana ni kazi ya jinsia yeyote tu

Kuoa ni kuongeza gharama ambazo mhusika hujitakia, Pamoja na stress na kupata magonjwa ya ajabu.

Ndio maana wengi huamua kutafuta watoto tu ndoa hapana.

Kumbuka maisha yamebadirika sio Kama zamani mwanamke lazima uolewe!

Sent using Jamii Forums mobile app
Eh unajidanganya ukimpata mtu sahihi utaona raha ya ndoa
 
Jamani wanaume ambao hamjaoa shida nini kwa maana zamani ilikuwa mnasingizia tunapenda hela na sasa mnasingizia corona hii hali ya kuishi wenyewe hamchoki just imagine everytime unafanya vitu mwenyewe kupika , kufua , kuosha vyombo ukiumwa hakuna wakukisaidia majuku yote hayo .
Hamuoni ni muda wakutulizana na kupata msaidizi?
Tuchambue hili jambo mnakwama wapi?
😁🤗

Mie nasubiri nikamilishe sexual fantasy zangu.
 
Kubet humu kumekuwa kugumu sana kwenye sekta ya mahusiano..

Humu kuna wenye majina mazuriiiii ukikutana naye anafanana na dingi yake mkubwa..

Wengine anajipa jina lisiloeleweka tunamuogopa kumbe ni mkali balaa and this applies on both sex kwa hiyo hapa ndipp tunapokwamia mkuu

.Cha msingi ni kujilipua unayekutana nae basi ukimuelewa unalala naye mbere ukiona umelamba galasa unachuna tu uzuri wa Pm taarifa huwa hazitoki na ukitoa ukasbainika Ban ni halali yako.

Hivyo karibu Pm maana nakuona nawe ni muhitaji na kuna sehemu unakwama km tunavyokwama sie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, kupika kuosha vyombo na vingine sio kazi ya wasichana ni kazi ya jinsia yeyote tu

Kuoa ni kuongeza gharama ambazo mhusika hujitakia, Pamoja na stress na kupata magonjwa ya ajabu.

Ndio maana wengi huamua kutafuta watoto tu ndoa hapana.

Kumbuka maisha yamebadirika sio Kama zamani mwanamke lazima uolewe!

Sent using Jamii Forums mobile app
una mpango wa kuoa?
 
Back
Top Bottom