Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 8,938
- 25,282
Hata hapo si pabaya the Beach Club nadhani, nikipita hapo mara nyingi nakuta wazungu ndio wamejaa mpaka najiuliza mbona "wanaume wa Dar" wengi wenye hela hawaji sehemu kama hizi, wanaishia KFC mlimani city