Hata hapo si pabaya the Beach Club nadhani, nikipita hapo mara nyingi nakuta wazungu ndio wamejaa mpaka najiuliza mbona "wanaume wa Dar" wengi wenye hela hawaji sehemu kama hizi, wanaishia KFC mlimani city
Wanaume twende sawa tena kwa umakini sana. Unakutana na demu somewhere unaomba namba sababu amekuvutia/umemtamani utaanza mawasiliano nae na hapa utamtafuta sna pamoja na kumpigia kwa sana tuna assume vocha=10k.
Unakuja omba meeting atakubali so hapo atahitaj uber kwa madem wa mjin hawa go and return uber assume=15k kumbuka demu unameet nae for the first time so utataka umpeleke sehm nzuri akuone una pesa kama KFC/Pizahut au shm yyt nzuri minimum cost=50k.
Sijamaliza bado kumbuka utaanza kumpa vi offa vya hapa na pale ili kumvuta cost=50k ataomba pesa tu assume 50k kumbuka pia utakuw na root kibao za kumtafuta cost=20k.
Ushampata sasa naenda direct wkt wa kusex utataka lodge au hotel nzuri cost=80k. Kumbuka hizi cost nme assume tu na ni kwa mwanaume ambae atatumia week tu kumaliza mchezo wote, tunakuja total=275k.
Hapo unakuja ona kuwa wanaume tunapoteza pesa kizembe sana kisa K na bada ya kukupa demu unamwacha, wakati mitaa kma sinza unapata huduma haizid 20k na ukienda masaki hku unapata high class haizid 50k. Hapa unaona kuwa siku zote shortcut ndo best way usitake kutumia njia ndefu ambyo haina msaada itakufilis SHTUKA.
Sent from my iPhone using JamiiForums
yani mpka hapo nmegundua kuwa mleta mada ana sura ya mbuzi na hajui kutongoza
ntarudi[emoji1550][emoji3603][emoji1550][emoji3603][emoji1550][emoji3603][emoji1550][emoji3603]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hata hapo si pabaya the Beach Club nadhani, nikipita hapo mara nyingi nakuta wazungu ndio wamejaa mpaka najiuliza mbona "wanaume wa Dar" wengi wenye hela hawaji sehemu kama hizi, wanaishia KFC mlimani city
Hata hapo si pabaya the Beach Club nadhani, nikipita hapo mara nyingi nakuta wazungu ndio wamejaa mpaka najiuliza mbona "wanaume wa Dar" wengi wenye hela hawaji sehemu kama hizi, wanaishia KFC mlimani city
Hapo nimekuelewa kama unataka kuchit tuu je kama unatafuta kajiko kakudumu utatumia kiasi gani mpaka unakuja kukutana na anayekufaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wale wadhaifu mbele ya wanawake hadi inafikia kipindi mwanamke wako anakuita boya mpooo, Ujumbe wenu huu tafakarini na mchukue hatua alafu mpambane na hali,
Pamoja na kukaa na kuzaliwa Dar lakini sijawahi kua na mikato ya KFC au Pizza Hut, sijui MarryBrown...ni mwendo wa vi mighahawa classic tu..na watoto wana enjoy..
kuna ka- discount ka- kuishi karibu na kwao presida.. mcheza kwao hutunzwa!!Wap uko? Ukiwa na 10k unakula 10 maninaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
kuna ka- discount ka- kuishi karibu na kwao presida.. mcheza kwao hutunzwa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah bora kwa wanyakyusa tu. Nikimnunulia maparachichi ya buku na ndizi na mazagazaga yasozidi 10k naenda kula mzigo. Haichukua hata wiki.
Poleni sana wanaume wa Dar
Sent using Jamii Forums mobile app