Wanaume njooni mnijibu swali langu

Wanaume njooni mnijibu swali langu

Bi dentamol

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
1,038
Reaction score
2,189
Najua sio wote wenye jii tabia ila naimani wenye tabia hii mpo na humu
Kipi upelekea ukawa na mahusiano na watu wa karibu na mkeo??
Yan wewe hauoni mbali ni marafiki wa mkeo, majiran waliokaribu na mkeo ..yan mkeo akicheka na mtu leo kesho ushachapa
Je labda mke kuna mahali anafel au shida nn jaman?
 
Mi mwanamke....
Dada ukiona mumeo anachapa mpaka rafiki zako jua hapo huna ndoa Wala mume!!!!
Mume anaeshindwa kukuheshimisha kwenye jamii inayokuzunguka huyo haijui heshima yako Wala thamani yako kwenye hiyo ndoa.
 
Najua sio wote wenye jii tabia ila naimani wenye tabia hii mpo na humu
Kipi upelekea ukawa na mahusiano na watu wa karibu na mkeo??
Yan wewe hauoni mbali ni marafiki wa mkeo, majiran waliokaribu na mkeo ..yan mkeo akicheka na mtu leo kesho ushachapa
Je labda mke kuna mahali anafel au shida nn jaman?
Mlaumu Mama Duly kawaambia kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake 😂😂😂.
 
Najua sio wote wenye jii tabia ila naimani wenye tabia hii mpo na humu
Kipi upelekea ukawa na mahusiano na watu wa karibu na mkeo??
Yan wewe hauoni mbali ni marafiki wa mkeo, majiran waliokaribu na mkeo ..yan mkeo akicheka na mtu leo kesho ushachapa
Je labda mke kuna mahali anafel au shida nn jaman?
😅😅 Fimbo ya karibu inaua nyoka, umeletewa msosi karibu, chakula cha mbali cha kazi gani
 
Najua sio wote wenye jii tabia ila naimani wenye tabia hii mpo na humu
Kipi upelekea ukawa na mahusiano na watu wa karibu na mkeo??
Yan wewe hauoni mbali ni marafiki wa mkeo, majiran waliokaribu na mkeo ..yan mkeo akicheka na mtu leo kesho ushachapa
Je labda mke kuna mahali anafel au shida nn jaman?
Muulize mumeo?
Tupe kisa chote tukuelewe zaidi
 
Mi mwanamke....
Dada ukiona mumeo anachapa mpaka rafiki zako jua hapo huna ndoa Wala mume!!!!
Mume anaeshindwa kukuheshimisha kwenye jamii inayokuzunguka huyo haijui heshima yako Wala thamani yako kwenye hiyo ndoa.
Hapa umetoa lawama kwa mume,yani umeangalia upande mmoja wa tatizo,
nakubaliana na hoja yako,

Ila inabidi pia uangalie na upande wa pili,hao wanawake walio karibu na mke kwani hua wana bakwa? si hua wanakubali kwa ridhaa zao,kwanini hao wanawake walio karibu na wewe wasikuheshimu wewe kwa kukataa kutembea na mume wa rafiki yao ambaye ni wewe? so,hapa tatizo sio Mume tu bali mpaka aina ya marafiki zako au watu wako wa karibu.
 
Najua sio wote wenye jii tabia ila naimani wenye tabia hii mpo na humu
Kipi upelekea ukawa na mahusiano na watu wa karibu na mkeo??
Yan wewe hauoni mbali ni marafiki wa mkeo, majiran waliokaribu na mkeo ..yan mkeo akicheka na mtu leo kesho ushachapa
Je labda mke kuna mahali anafel au shida nn jaman?
Jifunze kwanza kuandiaka. Ohh nisamehe nilikua nimesahau kumbe shule zimefungwa bado
 
Back
Top Bottom