Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,587
- 86,641
Huko kitaa maisha ni magumu sana aiseeeee......Mkuu kwani unahofu gani inayokuzuia kuondoka hapo kwa shemeji? Au una maslahi gani yanayokulazimu uwe kama ruba hapo?
Hata vijisenti ninavyo vipata naona niwe nanywea mitungi tu, wakati nikiendelea kukaa kwa shemela