PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,517
- 13,180
Sijawahi kuishi kwa shemeji lakini huwa najiuliza hivi siku dada akitimuliwa wote mnasepa si aibu hiyo?




Sijawahi kuishi kwa shemeji lakini huwa najiuliza hivi siku dada akitimuliwa wote mnasepa si aibu hiyo?




sawa mkuuAya bana ila wanaume wa dar tunakazi kwelikweli inabidi mtuombee
Kweli mkuuMambo ya kukaa unamsikiliza dada akilalamika wakati wa mgegedo kweli siwez vumilia ntamvunja mtu taya
Hahaahha.Mambo ya kukaa unamsikiliza dada akilalamika wakati wa mgegedo kweli siwez vumilia ntamvunja mtu taya
Tatizo tukiwaoa dada zenu wa mikoani na nyie mnataka kuja mjini
Poleni sana wanaume wa Daslam. Nadhani Shemeji hatakawia kusema kwamba unafanana na dada yako, so jua tu kwamba siku dada akiachika unaolewa wewe

Hahahaaaa!! Hakuna aloishi/anayeishi kwa shemeji humu.Wanaume wa dar mkuje jaman mnaitwa
Watakuepo wanakosaje kwa mfano aibu ujueHahahaaaa!! Hakuna aloishi/anayeishi kwa shemeji humu.
We subiri uone.Watakuepo wanakosaje kwa mfano aibu ujue
Wakija naomba uniite jamaan nikuje kuwaona wanaume wa darWe subiri uone.