Wanaume njooni mfunguke.

Wanaume njooni mfunguke.

Kuishi kwa dada yako aliyeolewa ukiwa upoupo tu tena wewe ni kidume mwenye miaka zaidi ya 28 ni tatizo na fedheha kubwa. Imagine mwenye nyumba anaamka asubuhi kwenda mzigoni na akirudi jioni anakukuta upo busy tu unachange channels za DSTV. Inahitaji uwe umejitoa ufahamu kidogo. Ila haya mambo yapo na ndio maisha yenyewe.
 
Kimbembe na pale jamaa akifuana namkewe akampa likizo ndogo au talaka je na wew utapewa talaka au utabaki??

kukaa kwa shemeji ni kama kuolewa tu
 
Poleni sana wanaume wa Daslam. Nadhani Shemeji hatakawia kusema kwamba unafanana na dada yako, so jua tu kwamba siku dada akiachika unaolewa wewe
Sisi tukijia kuoa mikoani nyie mnafuata dada zenu mjini kurudi hamtaki
 
Mkuu, mihadi leo naishi kwa shemela mume wa dadaangu. Hapa shemeji ana chumba kimoja na sebule.
Mi nalala sebleni na sina mpango wa kuhama hapa maskani kwa shemela, na ninaona kilakitu poa tu....
 
mimi niliwahi kwenda likizo nikiwa school...... Nilirudi home nimekonda mpka watu wakauliza nilikua segerea au ...... nilikua sina uhuru wala amani kama mfungwa
 
wanaume wa Dar mnakazi ngumu sana Iam proud to be mkoanilist
 
Hivi japo sijawahi kukaa ila nawaza tu mfano umetoka zako misele unaingia sebuleni fasta unamkuta jamaa anamgegeda sista itajisikiaje tu mfano
 
Wanaume wa DSM, tumuachieni Mungu tu kwa haya yanayotufika!
 
Dada alipokuwa anatembezewa kipigo kisa ugomv wao....enz hzo Niko form two nikajiapia aisee sitakaa kwa shemej tena
 
Kuishi KWA shem Mara karudi anamtukana Dada ako nyie kwenu tabia wote sawa ...itakuwajee?? Au CCTA ako ndo anamakosa ukicheki chem anakwambia unamuona uyu bwashee uwa ndo ivi kila sikuu
 
Back
Top Bottom