Kwa sisi wanaume ni jambo la Kawaida na ni nature ya Kila jnsia me kwa viumbe wote awe mbwa, nguruwe, kuku na Kila Aina ya kiumbe..
Miili ya wanaume inauhtaj mkubwa Sana wa ngono kuliko wanawake, unakuta mwanaume mmoja anauwezo wa kuish na wanawake watatu kwa siku kwa tamaa ya ngono tu lakn Mwanamke hawez na akifanya ni kwa tamaa ya pesa tu..
Ukiangalia ata mababu zetu wakristo kwa waislamu waliishi na wanawake zaid ya mmoja ..
Kimsingi na kiasili wanaume tunatamaaa ya ngono wanawake wanatamaaa ya Mali..
Muhimu kwa wanawake ni kuangalia heshima tu, kuthaminiwa na kutokushuhudia huo usaliti mengine unamuachia mwenyez mungu.. Ukiona umewekwa Ndani ujue unapendwa