Of all the people ukagota kwa mnigeria halafu ukategemee kutoa stori njema? Wee ni mgeni ndani ya ulimwengu huu?Nime kuwa na urafiki na wanaume wa TZ , Nigeria na Kenya na kwa uzoefu yao nimepata kuwa ni walaghai, waongo na wenye kiburi! Hawa watakuhaidi mbingu lakini ifikapo matendo wanapotea
Yeah urafiki wa kibaby baby.
Na swaga za spray ikipulizwa na upepo inaisha ikikusamehe inafifia taratibu!
Hahahahahaaa....
Mmmmmh! MJINI HAPA CHUO KIKUU! Ukizubaa unakatwa tu!
Wapendwa kuna mwanaume tumefahamiana hapa jf, nikijana wa makamu, anaweza akawa karibia 40, tulivyokutana alinisimulia mikasa kibao ambayo wasichana wamemtenda na mimi nilimpa yangu maana alivyoanza kuchat namimi aliniambia ananionea huruma mikasa mingi ilivyoniandama, akaniambia yeye yupo tayari kunioa no matter what mh nikashukuru Mungu kaniona namshangaa aninishawishi nihamie nyumbani kwake kabla hata hatujahalalisha, kaka zangu na dada zangu hiyo ni sawa kweli?
Wapendwa kuna mwanaume tumefahamiana hapa jf, nikijana wa makamu, anaweza akawa karibia 40, tulivyokutana alinisimulia mikasa kibao ambayo wasichana wamemtenda na mimi nilimpa yangu maana alivyoanza kuchat namimi aliniambia ananionea huruma mikasa mingi ilivyoniandama, akaniambia yeye yupo tayari kunioa no matter what mh nikashukuru Mungu kaniona namshangaa aninishawishi nihamie nyumbani kwake kabla hata hatujahalalisha, kaka zangu na dada zangu hiyo ni sawa kweli?
Duh JF ni Hatareeeeeeeeeeeeeee,,,,,mrembo umeshabebwa humu humu?Wapendwa kuna mwanaume tumefahamiana hapa jf, nikijana wa makamu, anaweza akawa karibia 40, tulivyokutana alinisimulia mikasa kibao ambayo wasichana wamemtenda na mimi nilimpa yangu maana alivyoanza kuchat namimi aliniambia ananionea huruma mikasa mingi ilivyoniandama, akaniambia yeye yupo tayari kunioa no matter what mh nikashukuru Mungu kaniona namshangaa aninishawishi nihamie nyumbani kwake kabla hata hatujahalalisha, kaka zangu na dada zangu hiyo ni sawa kweli?
Usiongee kwa sauti yupo humu humu atakusikia na kukuacha.Wapendwa kuna mwanaume tumefahamiana hapa jf, nikijana wa makamu, anaweza akawa karibia 40, tulivyokutana alinisimulia mikasa kibao ambayo wasichana wamemtenda na mimi nilimpa yangu maana alivyoanza kuchat namimi aliniambia ananionea huruma mikasa mingi ilivyoniandama, akaniambia yeye yupo tayari kunioa no matter what mh nikashukuru Mungu kaniona namshangaa aninishawishi nihamie nyumbani kwake kabla hata hatujahalalisha, kaka zangu na dada zangu hiyo ni sawa kweli?
mkuu sio yeye tu, wapo wengi tu, kuwa na mnigeria kwao ni kama fashion, wapo wengi wanaishi maisha ya kufuata mkumbo, wakishadanganyana kuwa wanigeria ndio issue mjini, basi wanapapatika kwa wanigeria utafikiri kuku aliyekatwa kichwa.Of all the people ukagota kwa mnigeria halafu ukategemee kutoa stori njema? Wee ni mgeni ndani ya ulimwengu huu?
Mh...kumbe watu wana sababu nyingi za kuwa member humu...yani wanaume wameisha mitaani mpaka ushobokee wa nyuma ya keyboard ...mna risk nyie...ngoja mje muwa date matapeli na wauaji toka Nigeria
Wakati mnatongozana mbona hamtukushirikisha?