Suprise
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 2,696
- 1,063
Unajua wadada mnanishangaza sana kwa hii mentality:A S 39:. kwani ndoa isipokuwepo si wote wawili kwenye mahusiano wameikosa? sasa iweje upande mmoja ujione umedhulumiwa, kama ni kuchezeana au kutumika wote mtakuwa mmetumika na mmechezeana. what makes you think you are being used, really I dont understand this species!!! :crying::crying::crying:
:help::help::help: me understand you.
kuchezewa na kupotezewa mda kunakuja tu pindi malengo yanapotofautiana, kama yakifanana hachezewi mtu so inadepend na walivyokubaliana kuachiev malengo yao.
mdada ana lengo la ndoa na sio maisha bila ndoa wile mkaka ana lengo la maisha even without mariage so lazima hapo mdada atakua kapotezewa mda kama ndoa haitakua achieved