wanaume ni majanga matupu

wanaume ni majanga matupu

Sio sawa usithubutu kuhamia kwake..Na ukifanya hivo ujue ndoa ndo bye bye!!Kutakuwa na umuhimu gani wa yeye kukuoa kama mnaishi kama mke na mume!!

sema harusi bye bye

kwa nini unachanganya ndoa na harusi?
 
Kuna watu wana kazi humu duniani! Ee Mungu utuhurumie!
 
Sio sawa usithubutu kuhamia kwake..Na ukifanya hivo ujue ndoa ndo bye bye!!Kutakuwa na umuhimu gani wa yeye kukuoa kama mnaishi kama mke na mume!!

Unaweza kuhamia na ndoa ikawepo, na unaweza usihamie na bado ndoa ukaishia kushangilia za wengine. Haya mambo hayana formula ambayo ndio na nyingine sio bila exceptions.

Pengine jamaa anataka wawe karibu ili amsome vizuri, ajue kama wataweza kuishi pamoja au la.
 
Wapendwa kuna mwanaume tumefahamiana hapa jf, nikijana wa makamu, anaweza akawa karibia 40, tulivyokutana alinisimulia mikasa kibao ambayo wasichana wamemtenda na mimi nilimpa yangu maana alivyoanza kuchat namimi aliniambia ananionea huruma mikasa mingi ilivyoniandama, akaniambia yeye yupo tayari kunioa no matter what mh nikashukuru Mungu kaniona namshangaa aninishawishi nihamie nyumbani kwake kabla hata hatujahalalisha, kaka zangu na dada zangu hiyo ni sawa kweli?

sasa mlivoanza mbona hukutuambia...?usipige bahati teke amia ushinikize pete mama....Shauri yako!
 
Nime kuwa na urafiki na wanaume wa TZ , Nigeria na Kenya na kwa uzoefu yao nimepata kuwa ni walaghai, waongo na wenye kiburi! Hawa watakuhaidi mbingu lakini ifikapo matendo wanapotea
 
Nime kuwa na urafiki na wanaume wa TZ , Nigeria na Kenya na kwa uzoefu yao nimepata kuwa ni walaghai, waongo na wenye kiburi! Hawa watakuhaidi mbingu lakini ifikapo matendo wanapotea
Wanawake wa Kikenya wanasifika kwa kiburi pia, na wanapenda sana 'mbingu'/
 
Wapendwa kuna mwanaume tumefahamiana hapa jf, nikijana wa makamu, anaweza akawa karibia 40, tulivyokutana alinisimulia mikasa kibao ambayo wasichana wamemtenda na mimi nilimpa yangu maana alivyoanza kuchat namimi aliniambia ananionea huruma mikasa mingi ilivyoniandama, akaniambia yeye yupo tayari kunioa no matter what mh nikashukuru Mungu kaniona namshangaa aninishawishi nihamie nyumbani kwake kabla hata hatujahalalisha, kaka zangu na dada zangu hiyo ni sawa kweli?
kuwa makini; vinginevyo utaliwa kekundu. Wananaume wa mjini sio muchezo.
 
Ukiona manyoya....................... Waswahili walisema "Kunguru mwoga huficha bwawa lake" Tafakari chukua hatua.
 
inategemea inawezekana anataka akutumie then akuache au labda anataka mjuane tabia zaidi kabla ya kukuoana kitu ambachokina faida na hasara.
 
Kuhamia au kutokuhamia siyo tabu, tabu ni kuwa mazingira ya kufikia kukuambia hivyo uliyajenga wewe mwenyewe. Na suala la kuhalalisha linatoka wapi? ina maana mmeshapitia vyote mpaka sasa inasubiriwa kuhalalisha tu suala la kuishi pamoja? Cha msingi usiseme wanaume majanga afadhali useme huyo wa kwako ndo majanga kwa kuwa nawe ni majanga ndo maana inakuwa majanga.
 
Wapendwa kuna mwanaume tumefahamiana hapa jf, nikijana wa makamu, anaweza akawa karibia 40, tulivyokutana alinisimulia mikasa kibao ambayo wasichana wamemtenda na mimi nilimpa yangu maana alivyoanza kuchat namimi aliniambia ananionea huruma mikasa mingi ilivyoniandama, akaniambia yeye yupo tayari kunioa no matter what mh nikashukuru Mungu kaniona namshangaa aninishawishi nihamie nyumbani kwake kabla hata hatujahalalisha, kaka zangu na dada zangu hiyo ni sawa kweli?

point of correction huyo around 40's sio kijana..mengine jiongeze mwenyewe
 
Unaweza kuhamia na ndoa ikawepo, na unaweza usihamie na bado ndoa ukaishia kushangilia za wengine. Haya mambo hayana formula ambayo ndio na nyingine sio bila exceptions.

Pengine jamaa anataka wawe karibu ili amsome vizuri, ajue kama wataweza kuishi pamoja au la.
Hio sio mila na desturi zetu mtoto wa kike kuishi na mwanaume kabla ndoa,nakubali wengi wanaona ni jambo la kawaida lakini haimaanishi kwamba ni sawa!!Tabia watasomana tu taratibu hawana ulazima wa kuishi pamoja!!
 
achana nae hana inshu, anataka amaliza mambo yote mapema alafu akuache uende zako na vilevile kuna uwezekano hiyo mikasa ya mapenzi aliyokusimulia ikawa ya uwongo...!!! SIO MUOAJI
 
Wapendwa kuna mwanaume tumefahamiana hapa jf, nikijana wa makamu, anaweza akawa karibia 40, tulivyokutana alinisimulia mikasa kibao ambayo wasichana wamemtenda na mimi nilimpa yangu maana alivyoanza kuchat namimi aliniambia ananionea huruma mikasa mingi ilivyoniandama, akaniambia yeye yupo tayari kunioa no matter what mh nikashukuru Mungu kaniona namshangaa aninishawishi nihamie nyumbani kwake kabla hata hatujahalalisha, kaka zangu na dada zangu hiyo ni sawa kweli?

Kwanini siri yetu umekuja kuianika huku? Kama vipi si ungenipotezea tu yaishe? Najitoa JF.
 
Back
Top Bottom