wanaume ni majanga matupu

wanaume ni majanga matupu

Mh...kumbe watu wana sababu nyingi za kuwa member humu...yani wanaume wameisha mitaani mpaka ushobokee wa nyuma ya keyboard ...mna risk nyie...ngoja mje muwa date matapeli na wauaji toka Nigeria

Mkuu, kumbuka:Hao wa mitaani ndio wanaokuja humu.Hawa wa humu ndio wanakwenda mitaani pia.Kwa kifupi watu ni walewale japo mazingira tofauti....
 
Latifa, mna muda gan mko nae kwenye mahusiano? Je ni sababu zipi alizoelezea za kukusababisha uhamie kwake? Je utayar wake katika suala la ndoa au kuonana na wazazi pande zote mbili ukoje?

Sent from my BlackBerry - jamiiforums
 
Anataka mfanye zoezi kabla ya kuamua kupiga match(ndoa), sa we unaogopa nini? Au ndio anatoa vgnty?
 
Mh...kumbe watu wana sababu nyingi za kuwa member humu...yani wanaume wameisha mitaani mpaka ushobokee wa nyuma ya keyboard ...mna risk nyie...ngoja mje muwa date matapeli na wauaji toka Nigeria

Jf ndio mtaani penyewe, electronic kijiwe
 
Wewe una umri gani kama huyo mwenzio ana miaka around 40??? Kwa umri ulionao bado tu hujaona kama ni sahihi au sio sahihi kweli au wewe ni under 18?????
 
mimi nitakuwa wa mwisho kukushauri ngoja waanze wa dada ambao ndo wanajua zaidi hii kitu ina madhara gani
 
Akishakuweka ndani hiyo ndoa ndo bye bye utaiomba hadi magoti yaote sugu.

Unajua wadada mnanishangaza sana kwa hii mentality:A S 39:. kwani ndoa isipokuwepo si wote wawili kwenye mahusiano wameikosa? sasa iweje upande mmoja ujione umedhulumiwa, kama ni kuchezeana au kutumika wote mtakuwa mmetumika na mmechezeana. what makes you think you are being used, really I dont understand this species!!! :crying::crying::crying:
:help::help::help: me understand you.
 
quote_icon.png
By Latifaa

Wapendwa kuna mwanaume tumefahamiana hapa jf, nikijana wa makamu, anaweza akawa karibia 40, tulivyokutana alinisimulia mikasa kibao ambayo wasichana wamemtenda na mimi nilimpa yangu maana alivyoanza kuchat namimi aliniambia ananionea huruma mikasa mingi ilivyoniandama, akaniambia yeye yupo tayari kunioa no matter what mh nikashukuru Mungu kaniona namshangaa aninishawishi nihamie nyumbani kwake kabla hata hatujahalalisha, kaka zangu na dada zangu hiyo ni sawa kweli?


VISA ALIVYOTENDA WALESI MAMA , SITAVISAHAU, ALINIAMBIA NIHAME KWETU ILI ANIPE TABU.
---- CHAKULA NAKULA KWA JIRANI , KULALA NALALA KWA JIRANI, -------------- TABORA JAZZY MIAKA ILEEEEEEEEEEEEEEEE
 
Atakapoona hii thread yako humu what next?? Ushakatwaa!!!..
 
ujue wanaume wa jf ni kama wanaume wengine tu! think latifa! think!
 
Kama mke mwema atoka kwa Bwana , basi hata mume mwema atoka kwa Bwana vilevile. Kama ni hivyo huyo mume mtarajiwa wako atakuwa ametoka kwa bwana!!!!!!!!!!!!!!! chapalapa.
 
Back
Top Bottom