TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
mmmh!! hii nayo kumbe ipo!!
Kuna watu hapa wanataka mwanaume alie kama mwanamke hapana akinuna tu ndo kulia kwenyewe
mmmh!! hii nayo kumbe ipo!!
lol...... haya ngoja nikupe ile ki2 roho ina penda.acha hizo wewe..
...............Mimi nalia kirahisi sana " nikinyimwa mzigo saa tisa usiku" ................... zingatia umebembeleza ile mbaya, halafu unaambiwa mgao hakuna, tena mzigo wako mwenyewe !!View attachment 44694
View attachment 44695
Si mnaona tofauti ya mwanamke na mwanaume katika kulia.....................! LOL
Wanaume tuna hisia, ila si watu wa kukurupuka ....
Mara nyingi husubiri kupata ushahidi ....
kudos canta..
Mwanangu, ngoja niende hapo kwa Mpemba nikakununulie Mkate Boflo wa kukupongeza kwa mchango wako mahiri,
lol...... haya ngoja nikupe ile ki2 roho ina penda.
wel wanaume wengii hawapendi kuexpress hisia zao especially za majonzi huwaga wanagugumia ndan kwa ndan.
by moyo mgumu sikumaanisha vibaya ni kwamba wanaweza kuhifadhi tatizo mioyon mwao au hata shida na kuumia kindan ndan bila hata kushare na m2 kinachomsibu.
ss huo sio moyo mgumu jaman?
Hisia ni jambo jingine ila suala la kulia ni baya sana,
Yaani kumuona baba yako analia ni kama laana...May be karibia na kuoneshwa utupu!!
Babu DC!!