nashukuru mmenirahisishia kunakiri sifa za wangu, mi KINYUME ya hizo hpo juu, hivi mnafikiri wenye hizo tabia hawahitaji kupendwa, hivi nyi mna tabia nzuri, acheni hzo bwana binadamu wote ni sawa, achen ubinafsi, acheni Mungu mwenyewe aamue nyi wa wap?nakuunga mkono 100%safi..