Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,986
- 146,303
Sasa unajuaje hajui bajeti? Ukioa mke asiyejua bajeti umekosea kuoa.Hujui Dunia wewe , kadi kama kuacha inaachwa ya famili account tu na lazima elewa bajet ya pesa iliyotoka imetumika vipi, unaacha kadi ajichotee , unaongea nini ,wewe sio mwanaume na kama mwanaume umerogwa sio bure ,
Inawezekana mke ndiye anajua bajeti kuliko mume.