Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,012
- 71,171
Kuitwa mama sio inshu , inshu nikuitwa mama ukiwa na mume.Sawa kaka angu lakini kupanga ni kuchagua...Mimi niliacha kwenda club siku niliyoitwa mama,earlier msukuma nilikua nampeleka pale Dom NK siku moja moja!!
Mwingine bado anakula ujana
Mama anayeishi pekee tena kwa rika lenu ,kama ulikua mtu wa Club ,hata ukiwa na watoto, utaenda tu.... Lkn mama mwenye mume?? Utaanzaje kwanza kwenda Club??
Mbona simpo tu kuelewa.
Let me ask you....nawala usizunguke
Wee nimkristo/muislam umefunga ndoa ya kidini TAKATIFU , Unaweza kaa umruhusu mwanamme wako kwnda club? Naye anakuambia naenda club nitarud baadaw?? Unaweza ??
Aaahhhhhhhh nacheka sana.