ivi kama mngebaki wanawake wenyewe hapa duniani, mngekuwa mnatembea uchi? hayo manywele ya wafu mngekuwa mnavaa? suruali za kubana mngemvalia nani?
Lakini jibu lipo, waangalie wanapoenda kwenye vicheni party, wanavaa vizuri, lakini wakienda kwenye mikusanyiko mingine ambapo wanaume wapo waone nguo zao! kama hawajitambui hawa watu, ona wanavyochezeshwa uchi kwenye makumbi ya starehe huku wanaume wamevaa vizuri,
kweli Mungu alimuumba mwanaume kwa mfano wake na kumfotokopy mwanamke toka kwa mwanaume .
nafikiri hakuna asiye na vituko dunia ya leo wanaume/wanawake wote vituko nachokiona tumeishia kuangalia zaidi vituko kuliko kutafuta suluhisho.
ukiona kituko cha mwanaume nyuma kuna mwanamke/ sawa na upande wa pili kituko cha mwanamke nyuma kuna mwanaume .
Nakwambia Nilham, ningekua karibu kituko cha mangumi kingenihusu haaa haaa.