Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,597
sawa.. sasa kwa hii couple je huyu mwanaume anaweza kuwa anakwepa nn sasa, maana kama ni matunzo kweli mkewe hakosi kitu wanashirikiana vizuri kiasi kwamba ni wachache wanaojua hawana ndoa na hata kazini mwanaume amemwandikisha mkewe na wana affidavity ambayo mume alipotakiwa cheti cha ndoa alidanganya kazini kuwa kimepotea so wakaenda mahakamani kuomba affidavity. shida ni kwa nn hataki ndoa na mwanamke imani yake ya dini inamsuta hana ndoa!
Na huyo mwanamke alikuwa wapi hadi wakakaa miaka 10? Kimetokea nini anaanza kudai ndoa leo wakati muda wote labda alikuwa kimya tu? Lazima ampe mumewe sababu za msingi kwa nini adai ndoa leo na siyo miaka 9 iliyopita!
mom tatizo sio kukosekana kwa ushauri ...........washauri wapo, na ndio hao wanaowapeleka vibaya
wasichana/wanawake wa kitanzania tunapenda kuiga au kushindana na wenzetu. hakuna anaeweza kusimamia kile anachokiamini yeye binafsi.
madhali fulani anatoa tigo na mwanamme hajamkimbia na mie nitafanya..............madhali fulani anaishi na mwanamme anahudumiwa na mie acha nijaribu....
hilo ndo linaloturudisha nyuma.......................kujiamini hakuna...
Huko kufuata mkumbo ndo tatizo. Ukweli ni kuwa wanaume wengi hawapendi kabisa. Binafsi nina allergy na tibia za hovyo hovyo kama hizo. We are unique and our life is independent. We don't care what others think about us or do for themselves.
Hapo sasa. Imani inamsuta mwanamke baada ya miaka 10. Nadhani kuna pressure ya shoga zake hapo. Vinginevyo hiyo tactic delay ataielezeaje?nafikiri huyo mwanamme anaona ameshakaa nae miaka kumi anatoa huduma zote haoni MANTIKI ya ndoa.
mwanamke yeye imani tu inamsuta, mwanamme yaonyesha hana imani hiyo...........kwa nini aoe wakati kimsingi yuko kwenye ndoa tayari kivitendo?!
Ni kwa vile wanakuwa wanajaribu kama kweli huyo mtu atakuwa kama atakavyo au sivyo.Wanapenda kuwa na uhuru zaidi wa kumwacha mwanamke pale atakapotokea ambaye wanahisi ana vigezo zaidi.Sasa akiwahi kujifunga mapema itakuwa ngumu kwake kutoka.
Siyo rahisi kumwacha mwanamke uliyeishi naye miaka 10 na kuzaa naye watoto 4 hata kama hukumpenda. After all, wanaume huwa hawapendi bali wanajali zaidi huduma wanayopata na kufuata mazoea!
Hapa itabidi tupate msaada wa wale watu wnaotumia lugha wanayoijua wao wenyewe. bht will be the best host for us! Ngoja aje atueleze kiufasaha kama huyo baba bado yuko single kiasi cha kupakia na kupakua mzigo kwenye gari lake wakati wowote anapotaka!how?....wacwac lazima uwepo coz jamaa anaweza kuhalalisha kwa mwingine na pingamizi lako halitachukuliwa serious ki vile kama ungekuwa na ndoa.