Wanaume na ndoa!

Mkiingia ndani ya ndoa unyenyekevu wote unaisha, mwanaume anahitaji kujiridhisha kwamba sasa yupo tayari kumtunza mwanamke, kutunza family na majukumu mengine ya ndoa. kwa miaka ya sasa wanaume wengi hupenda kujikamilisha kielimu, kifedha wengine haoi mpaka apate degree, masters kwa sababu nyie wanawake wa sikuhizi mnapenda sana raha na starehe, usipokuwa na kazi nzuri tabu, huna gari dharau utazipata, wenye magari watasifiwa kila siku. nakumbuka rafiki ya bro wangu alikuwa na wife wake wa ukweli mno acha tu, bro akanunua chaser mayai miaka ya 98-99, bro alikuwa bd hajaoa, wife wa jamaa alikuwa haishi kumtaja bro na alikuwa akija hm kuazima gari, yule rafiki wa bro alipoona hivyo akaamua kuiba kazini kwao, na yeye akanunua corrola lkn mwaka mmoja baadaye jamaa akasimamishwa kazi, kesi ikachukua mwaka mzima jamaa akatemwa job, hivi vitu ndo vinatufanya tuwapige kalenda, ili kesho na keshokutwa usianze kunigeuka tena. na nyie muache kulazimisha acha mtu ajiandae

Mkuu, inawezekana kuna ukweli hapo. Kuna mtu aliwahi kunambia kuwa, "the best husband is the one who can make more money than his wife can spend".
 
Inaafatana na mtoa uamuzi. Inaweza kuchukua mwaka, na hata miaka! Ila wengine tunaogopa MAJUKUMU! Unajua yula wakukutana na kuachana, hana gharama![/QUOTE]


Yap! Unajua akijijua kaolewa anajua hang`ooki na hata aking`ooka na mali mnagawana, hivyo visa vyake balaa!!!
 
Ukithubutu kuwashauri hivyo watakuona una roho mbaya kama ya mchawi, tena mwenye macho mekundu anayestahili kukatwa katwa mapanga! Mambo ya utandawazi na kwenda na wakati ndo tatizo. Yaani leo binti anatongozwa, kesho au siku hiyo hiyo anatoa hazina yake na ndani ya week moja anahamia kwa brother men. Na kwa vile brother men anataka maziwa bila kufuga ng'ombe, anaendelea kukamua tu. Ila siku akiambiwa kuwa mwenye ng'ombe angependa kumgawia kabisa ili naye aanze kubebe mzigo wa kukata majani na kuzoa samadi ndipo kizaa zaa kinapoanzia.

Dada, hakuna mwanamume duniani anapenda kubeba mizigo ingawa utamu anautaka. Free milk ruksa ila kufuga ng'ombe NO.

hee haya bwana! hapo anakutumia akianza kukinai anaanza mbele...unabakia njia panda.
 
Ukithubutu kuwashauri hivyo watakuona una roho mbaya kama ya mchawi, tena mwenye macho mekundu anayestahili kukatwa katwa mapanga! Mambo ya utandawazi na kwenda na wakati ndo tatizo. Yaani leo binti anatongozwa, kesho au siku hiyo hiyo anatoa hazina yake na ndani ya week moja anahamia kwa brother men. Na kwa vile brother men anataka maziwa bila kufuga ng'ombe, anaendelea kukamua tu. Ila siku akiambiwa kuwa mwenye ng'ombe angependa kumgawia kabisa ili naye aanze kubebe mzigo wa kukata majani na kuzoa samadi ndipo kizaa zaa kinapoanzia.

Dada, hakuna mwanamume duniani anapenda kubeba mizigo ingawa utamu anautaka. Free milk ruksa ila kufuga ng'ombe NO.

si kweli dia! wengi hawajapata mshauri wa kweli, wala hata hawaelewi madhara ya kuishi pamoja b4 marriage maana wangepata na mifano hai wangefikr kabla ya kuamua kuhamia kwa mwanaume
 
hee haya bwana! hapo anakutumia akianza kukinai anaanza mbele...unabakia njia panda.

Sasa mtu akikubali kutumika utamsaidiaje zaidi ya kumpatia anachohitaji? Ndo maana wajanja wakigundua kuwa ndege anakaribia kupaa zake angani wanahi limbwata (kama lipo na kweli linafanyakazi).

Tatizo kubwa la wasichana wengi siku hizi ni kujidanganya kuwa ukimwaga penzi kama njugu basi njemba itashawishika na kubeba mzigo. Ki-ukweli mambo ni kinyume chake, ukimbani bani jamaa anachukia na kubeba mzigo jumla. Cheap stuff usually bear low value!
 
mara nyengine anaona mshakaa pamoja miaka na miaka ....................haoni sababu ya kuoana ......hali iliyopo inamridhisha vya kutosha.
 
si kweli dia! wengi hawajapata mshauri wa kweli, wala hata hawaelewi madhara ya kuishi pamoja b4 marriage maana wangepata na mifano hai wangefikr kabla ya kuamua kuhamia kwa mwanaume

Dada wewe,.... watoto wa siku wanaanza kuwa makungwi kabla ya kuota meno yote 32. Sidhani kama wanakosa ushauri bali wanapeana ushauri wa hovyo hovyo kama ule alopewa yule dada aliyekuja hapa kuuliza kama Tigo inasaidia kupagawisha mume wake! Na kitu cha ajabu wanawake wengi mitaani (watu wazima) wanashiriki kuwaharibu watoto kwa kuwapatia huo ushauri wa kijinga!

Ila kwa hiyo couple unayoongelea nadhani wana matatizo makubwa. Baada ya kuishi pamoja miaka 10 na kuwa na watoto 4 (robo ya timu ya mpira) sioni kwa nini jamaa anakwepa kuhalalisha ndoa. Ila kimsingi hao tayari wako kwenye ndoa na mwanamke hatakiwi kuwa na wasi wasi wowote. Tatizo linajitokeza pale ambapo mwanamke anataka wafunge ndoa ili kushindana na mashoga zake. Hata mimi huwa sipendi huo upuuzi na naweza kukataa kitu hata kikiwa na manufaa kwa sababu hiyo!
 
Dada wewe,.... watoto wa siku wanaanza kuwa makungwi kabla ya kuota meno yote 32. Sidhani kama wanakosa ushauri bali wanapeana ushauri wa hovyo hovyo kama ule alopewa yule dada aliyekuja hapa kuuliza kama Tigo inasaidia kupagawisha mume wake! Na kitu cha ajabu wanawake wengi mitaani (watu wazima) wanashiriki kuwaharibu watoto kwa kuwapatia huo ushauri wa kijinga!

Ila kwa hiyo couple unayoongelea nadhani wana matatizo makubwa. Baada ya kuishi pamoja miaka 10 na kuwa na watoto 4 (robo ya timu ya mpira) sioni kwa nini jamaa anakwepa kuhalalisha ndoa. Ila kimsingi hao tayari wako kwenye ndoa na mwanamke hatakiwi kuwa na wasi wasi wowote. Tatizo linajitokeza pale ambapo mwanamke anataka wafunge ndoa ili kushindana na mashoga zake. Hata mimi huwa sipendi huo upuuzi na naweza kukataa kitu hata kikiwa na manufaa kwa sababu hiyo!

sawa.. sasa kwa hii couple je huyu mwanaume anaweza kuwa anakwepa nn sasa, maana kama ni matunzo kweli mkewe hakosi kitu wanashirikiana vizuri kiasi kwamba ni wachache wanaojua hawana ndoa na hata kazini mwanaume amemwandikisha mkewe na wana affidavity ambayo mume alipotakiwa cheti cha ndoa alidanganya kazini kuwa kimepotea so wakaenda mahakamani kuomba affidavity. shida ni kwa nn hataki ndoa na mwanamke imani yake ya dini inamsuta hana ndoa!
 
mom tatizo sio kukosekana kwa ushauri ...........washauri wapo, na ndio hao wanaowapeleka vibaya

wasichana/wanawake wa kitanzania tunapenda kuiga au kushindana na wenzetu. hakuna anaeweza kusimamia kile anachokiamini yeye binafsi.
madhali fulani anatoa tigo na mwanamme hajamkimbia na mie nitafanya..............madhali fulani anaishi na mwanamme anahudumiwa na mie acha nijaribu....

hilo ndo linaloturudisha nyuma.......................kujiamini hakuna...
 
nafikiri huyo mwanamme anaona ameshakaa nae miaka kumi anatoa huduma zote haoni MANTIKI ya ndoa.

mwanamke yeye imani tu inamsuta, mwanamme yaonyesha hana imani hiyo...........kwa nini aoe wakati kimsingi yuko kwenye ndoa tayari kivitendo?!
 
Ni kwa vile wanakuwa wanajaribu kama kweli huyo mtu atakuwa kama atakavyo au sivyo.Wanapenda kuwa na uhuru zaidi wa kumwacha mwanamke pale atakapotokea ambaye wanahisi ana vigezo zaidi.Sasa akiwahi kujifunga mapema itakuwa ngumu kwake kutoka.
 
Kwa mwanaume ndoa sio ishu kubwa sana....hajali sana kama mna vyeti au la (unless awe anavihitaji kwa ishu flani).
Ni rahisi sana kuhairisha jambo ambalo hulioni la muhimu sana!
Anachojali zaidi mwanaume ni ustawi wa familia yake na sio kwamba anakua hampendi mwanamke (mke wake?)
 
Dada wewe,.... watoto wa siku wanaanza kuwa makungwi kabla ya kuota meno yote 32. Sidhani kama wanakosa ushauri bali wanapeana ushauri wa hovyo hovyo kama ule alopewa yule dada aliyekuja hapa kuuliza kama Tigo inasaidia kupagawisha mume wake! Na kitu cha ajabu wanawake wengi mitaani (watu wazima) wanashiriki kuwaharibu watoto kwa kuwapatia huo ushauri wa kijinga!

Ila kwa hiyo couple unayoongelea nadhani wana matatizo makubwa. Baada ya kuishi pamoja miaka 10 na kuwa na watoto 4 (robo ya timu ya mpira) sioni kwa nini jamaa anakwepa kuhalalisha ndoa. Ila kimsingi hao tayari wako kwenye ndoa na mwanamke hatakiwi kuwa na wasi wasi wowote. Tatizo linajitokeza pale ambapo mwanamke anataka wafunge ndoa ili kushindana na mashoga zake. Hata mimi huwa sipendi huo upuuzi na naweza kukataa kitu hata kikiwa na manufaa kwa sababu hiyo!

how?....wacwac lazima uwepo coz jamaa anaweza kuhalalisha kwa mwingine na pingamizi lako halitachukuliwa serious ki vile kama ungekuwa na ndoa.
 
sawa.. sasa kwa hii couple je huyu mwanaume anaweza kuwa anakwepa nn sasa, maana kama ni matunzo kweli mkewe hakosi kitu wanashirikiana vizuri kiasi kwamba ni wachache wanaojua hawana ndoa na hata kazini mwanaume amemwandikisha mkewe na wana affidavity ambayo mume alipotakiwa cheti cha ndoa alidanganya kazini kuwa kimepotea so wakaenda mahakamani kuomba affidavity. shida ni kwa nn hataki ndoa na mwanamke imani yake ya dini inamsuta hana ndoa!


mhh kazi ipo, huyu wanamke ameshamuhoji huyo mr wake hayo maswali yote? na anaambulia majibu gani?....
 
mi nashauri wanaume wote ambao HAWAJAOA wasioe wala nini!.....

ni kujizeesha tu.....:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
mi nashauri wanaume wote ambao HAWAJAOA wasioe wala nini!.....

ni kujizeesha tu.....:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:

hee! mara hii umeshaona ni kujizeesha? ukifikia 3 yrs itakuwaje...ucwakatishe wengine tamaa bwana waache waingie wajionee.
 
nafikiri huyo mwanamme anaona ameshakaa nae miaka kumi anatoa huduma zote haoni MANTIKI ya ndoa.

mwanamke yeye imani tu inamsuta, mwanamme yaonyesha hana imani hiyo...........kwa nini aoe wakati kimsingi yuko kwenye ndoa tayari kivitendo?!

umeongea kama mwanaume mwenyewe naye anasema kwani hatuna ndoa? maadam tumeshaishi na kila mtu anajua wewe ni mke wangu basi mpaka nijiandae kama ni dnoa ya sherehe watu wafurahi, lkini mwanamke anaona haina haja ya kuwa na sherehe tena maana wao sio harusi ni kubariki ndoa tu. imefikia mahali mwanamke ana wasiwasi labda anataka kuoa mtu mwingine
 
hee! mara hii umeshaona ni kujizeesha? ukifikia 3 yrs itakuwaje...ucwakatishe wengine tamaa bwana waache waingie wajionee.
mimi yangu ni safi tu!

tatizo ni hii misalaba ya watu wengine!kutoka moyoni kabisa nawahurumia sana watu na ndoa zao
 
Back
Top Bottom