Wanaume na haraka ya ngono

Wanaume na haraka ya ngono

Wa mikoani umewachinjia baharini ok all the best ,,,,!

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu waungwana!! Nina swali moja leo kwa wanaume. Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi? Karibuni kwenye mada
Tunakwepa mbuzi kwenye gunia
 
Habari zenu waungwana!! Nina swali moja leo kwa wanaume. Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi? Karibuni kwenye mada
Men we do not want sex, we need sex.
 
itakuwaje mkisubiriana kisha baadae ukapata huyo dume ni kibamia?..au mwanamume ukapata kumbe pango?..
 
Mimi nawazungushaga hadi Mwaka aiseee

Sent from my HUAWEI GRA-UL00 using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu waungwana!! Nina swali moja leo kwa wanaume. Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi? Karibuni kwenye mada
Hili swali silipendi na nikiulizwa najifanya kama sijasikia.
 
Mimi nawazungushaga hadi Mwaka aiseee

Sent from my HUAWEI GRA-UL00 using JamiiForums mobile app
Utakuwa unatongozwa na waume za watu lakini sio single na kama ni single basi ana vivuli vingi vya kupumzikia
 
Habari zenu waungwana!! Nina swali moja leo kwa wanaume. Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi? Karibuni kwenye mada

Kwani wewe unajua unatongozwa ili iwe nini?
 
ukimkubalia mwanaume ina maana upo tayari kwa ajili ya kugegedana

kitu ambacho tunaweza kusubiri ni jibu la mtongozo sio sex
mkuu unanikoshaga sana na comment zako upo very straight

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom