Mimi nimezeeka
Mi najua Wee ni mwanamke ujue khaa![]()
![]()
![]()
nashukuru katika kumi huyo mmoja ni mimi

Tunakwepa mbuzi kwenye guniaHabari zenu waungwana!! Nina swali moja leo kwa wanaume. Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi? Karibuni kwenye mada
Men we do not want sex, we need sex.Habari zenu waungwana!! Nina swali moja leo kwa wanaume. Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi? Karibuni kwenye mada
Mkuu nitake radhi pls tusije fika mbaliMi najua Wee ni mwanamke ujue khaa![]()
![]()
![]()
![]()
Kuna siku ya nini Mkuu, siku niile nimekuitaji hiyo siku nyingine ikija pia Tutaitumia tuuKuna siku
Nitake radhi mimi sio mama pls Mkuu
Hili swali silipendi na nikiulizwa najifanya kama sijasikia.Habari zenu waungwana!! Nina swali moja leo kwa wanaume. Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi? Karibuni kwenye mada
Utakuwa unatongozwa na waume za watu lakini sio single na kama ni single basi ana vivuli vingi vya kupumzikiaMimi nawazungushaga hadi Mwaka aiseee
Sent from my HUAWEI GRA-UL00 using JamiiForums mobile app
Duuh
Habari zenu waungwana!! Nina swali moja leo kwa wanaume. Hivi ni kwanini wanaume huwa hamna subira? Ukishamtongoza tuu mwanamke akionesha kukubali tuu tayari unataka mkananihii kwani nyie huwa hamjali maisha yenu? Au hamjisikii vibaya kunanihii na wanawake wengi wengi? Karibuni kwenye mada
mkuu unanikoshaga sana na comment zako upo very straightukimkubalia mwanaume ina maana upo tayari kwa ajili ya kugegedana
kitu ambacho tunaweza kusubiri ni jibu la mtongozo sio sex
Nimekusamehe kabisa ila ukirudia nakuoa ili ujue kweli mi dume
