Usiombe kuoa mwanamke msafi, kuna siku nilikatwa kucha za miguu usiku nisije chana shuka bure.............! LOL
Hahaha mbona kuna wanawake ambao wasafi juu juu wananukia wakivua utadhani umefungua ndoo ya samaki kutoka feri
Kwa hiyo mwanaume anatakiwa anuke kama beberu.
Duh... me huwa nashangazwa na wanaume waliooa kutokuwa smart... hivi kweli anawezaje kuondoka nyumbani kwake akiwa rafu??? mkewe huwa yuko wapi???
Duuuuuh mtu ana masters asijipende????? Anyway hiyo ni changamoto kwa wasiojipenda.
Usafi ni hulka ya mtu tu,havina uhusiano na elimu wala status. Mwingine ndivyo alivyo...kurudia soksi ndo jadi yake,na wala hakerekwi na harufu ya miguu au uvundo wa boksa yake aliyovaa kuanzia Jumatatu mpk Ijumaa. Hana shida!
Duh... me huwa nashangazwa na wanaume waliooa kutokuwa smart... hivi kweli anawezaje kuondoka nyumbani kwake akiwa rafu??? mkewe huwa yuko wapi???
Hahaha mbona kuna wanawake ambao wasafi juu juu wananukia wakivua utadhani umefungua ndoo ya samaki kutoka feri
punguza basi na wewe tabia ya kunusa wanaume!!!
Mh! mwanamme hapaswi kunukia bwanaaaa!, anukie ili iweje???
usafi ni afya pia ni hulka ya mtu,elimu sio tatizo,suala ni tabia ya mtu binafasi.pia mwanamke anaweza kuchange mumewe.
punguza basi na wewe tabia ya kunusa wanaume!!!