Wanaume muwe makini muendapo kujisaidia

Wanaume muwe makini muendapo kujisaidia

Na nyie mpunguze speed mnapokojoa manake utadhani bomba la maji kwa hiyo presha
 
Bila shaka ndio maana kunakuwa na vyoo vya wanaume na wanawake ili kuepusha matatizo kama hayo!
Huyo kazoea kuchangia choo maana hata kwa public kunatofautishwa wanawake na wanaume..
Na kama ni bar anaingiaga kwa wanaume au anaendaga na bar za vichochoroni wanako share choo,UTI haziwezi kuwaacha kwa sababu wanaogopa maji kujiswafi wanatumia tissue
 
Agriiiiiiii
Nimesoma hii post huku nakula ugali na mgebuka kidogo nitapike
Mfyuuuuuuu
Thread zingine bwanaaa🙁🙁😡
 
Mm najua vyo vya public huwaa vimetengwa vya wanawake na wanaume ,, Sasa sijui unamaanisha nn unaposema wanaume eanachafua vyoo.
Naomba ufafanuzi hapo ni wap ME na KE wanashare vyo vya public.?
 
Pia nyie ladies huwanga mkitumianga latrine kwenye haja ndogo mpunguzege kumwaga pwaaaaaa, kama bomba la mvua , usitake tujue kama nyie mna hole kubwa au dogo huko chini nyie wenyewe ndo chanzo cha UTI kwa kumwaga kwa fujo mpaka inarukia kwenye underwear zenyu

* mjifunze kukontroo mikojo yenu , kama nanihi ni pana sana kamata na mkono uzuie mkojo kuruka*
 
Naogopa nikiishika naweza nisitoke Salama,,

Chaputagonia Cells zangu
Nazijua mwenyewe[emoji40][emoji40]
 
Ujumbe kwa picha

upload_2017-2-9_13-15-27.png
 
kwa nijuavyo public toilet huwa zimetenganishwa kwa wanaume peke yao na wanawake peke yao,. swali 'HUWA UNAINGIA VYOO VYA WANAUME KUTAFUTA NINI!!!???'
 
Back
Top Bottom