Wanaume muwe makini muendapo kujisaidia

Wanaume muwe makini muendapo kujisaidia

Ewe mwanaume tengeneza mazingira rafiki kwa ajili ya ustawi na afya za mama dada mtoto ndugu na jamaa zetu wakike. Inasemekana aslimia kubwa wanaume huwa ni wachafu sana linapokuja suala la usafi na matumizi ya choo.

Je, unaongelea vyoo vya wapi? Nyumbani, ofisini, au public toilets au mashuleni au vyuoni? Kama public toilets na maofisini kuna gents na ladies, hivyo utakuwa umelenga majumbani labda kama kuna baadhi ya public na toilets za ofisini hazina huo utaratibu. Kama ni majumbani, je unaongelea nyumba za kupangisha vyumba au nyumbani kwako au kwenu?

Pia je, unaongelea aina gani ya choo? Kama ni urinal, iweje utumie urinal wakati wewe ni mwananmke?

Suluhisho la tatizo lako tayari lipo kiteknolojia ambalo ni uwepo wa urinal!
 
Mm nalenga ww! Kama nalenga mpaka kashimo kadogo kenye joto na kamezungukwa na nyasi nyeusi na sikojoi pemben sembuse mshimo Wa choo??[emoji2] [emoji2] [emoji2]
That's good!! Habari yako Lakini Mgirik mbona ulikua kimya sana?? Kumbe upo??
 
Je, unaongelea vyoo vya wapi? Nyumbani, ofisini, au public toilets au mashuleni au vyuoni? Kama public toilets na maofisini kuna gents na ladies, hivyo utakuwa umelenga majumbani labda kama kuna baadhi ya public na toilets za ofisini hazina huo utaratibu. Kama ni majumbani, je unaongelea nyumba za kupangisha vyumba au nyumbani kwako au kwenu?

Pia je, unaongelea aina gani ya choo? Kama ni urinal, iweje utumie urinal wakati wewe ni mwananmke?

Suluhisho la tatizo lako tayari lipo kiteknolojia ambalo ni uwepo wa urinal!
Vyoo tunavyoshea both ladies and gents vipo sehemu nyingi tu
 
Wakaka wababa vijana kwa wazee wa kiume jamani tunaomba mjitahidi kulenga tundu vizuri wakati wa kukojoa pindi mnapoenda vyooni. Nadhani Maumbile yenu yalivo mnayajua kabisaa. Unakuta mtu kasimama hapa kojo linaruka kuleeeeeeee . Jaman wakati wa kukojoa kama inamwaga kusiko basi muwe kama mnazishika hizo na kuzielekezea kwenye tundu husika na si kuziachia chororororororororororororotrorororo maeneo yahapo pembeni kwa chini.

Inakera inaudhi inaboa inasikitisha na kutia hasira sana mtu unaingia huko nakukutana na hio mikojo iliotapakaa hapo chini. Maumbile yetu wenzenu yamekaa vibaya sana yani kuchuchumaa kwa aslimia zote kunatuhuu linapokuja suala la choo. Ndomana kumekua na tatizo sugu la UTI hasa kwa sisi wanawake ni tumbo linauma tumbo linauma tumbo linauma tumbo linauma.. ni kutokana na mabakteria na ma virus tunayokutana nayo vyooni hasa vyoo vya public. Mwanamke na slippers zako Unaeza ingia chooni ile mlangoni tu ukakutana na mimaji ya mikojo iliotapakaa hapo chini.

Unakutana na Makojo yanannnuka hatari yenye mchanganyiko wa takataka kibao zinazopita huko chini harufu kali sana za kojo kutokataa na mapombe ma bacteria mavijidudu ma vimelea vya gonjwa binafsi la mtu. Vyote hivo ni rahisi sana kutuattack sisi huku chini pale yunapochuchumaa huko vyooni. Usione watu wanatembea wengine ndani wameozaaa.

Ewe mwanaume tengeneza mazingira rafiki kwa ajili ya ustawi na afya za mama dada mtoto ndugu na jamaa zetu wakike. Inasemekana aslimia kubwa wanaume huwa ni wachafu sana linapokuja suala la usafi na matumizi ya choo.

Tumia choo vizuri na kwa ufasaha, si kwa haja ndogo tu na kubwa pia. Mtu ni afya mwananchi elewa.

Nihayo tu kwa leo, Mchana mwema.
Unafuata nini choo cha kiume
 
Ila Kojoa yenu nyie ndio huwa hamulengi Shimo kabisa, Labda ukojoe huku umesimama.
Sasa tukikojoa tumesimama si itachirizika kuanzia kwenye mapaja mpaka vidoleni jamani! '???!!
 
Choo kipi unachokizungumzia?
Tundu lipi unalolizungumzia?
mkojo upi unaouzungumzia?
nimeshamuelewa.....
ina maana jamaa zake huwa wanamwage pembeni? na yeye anataka wamwage ndani?
 
Back
Top Bottom