Wengiwao hawakutegemea ila Kuna mbegu zikinasa hazichomokiNimekaa hospital moja hapa mjini naona wakinamama na mimba zao.
Hakuna hata aliyeambatana na mume au aliyesababisha mimba. Mbaya zaidi wamama Afya hazijakaa vzr kabisa, wako kinyonge nyonge kabisa.
Tujaribu kuwana kaupendo kidogo. Na tujue Wanaume wote na tabia zetu hizi za kutekeleza wenzetu Mungu anatuona
Kweli kabisa mkuu kuna mmoja alikuwa ananiringia yaani unamtumia text WhatsApp leo anajibu baada ya siku 3 sms ya kawaida ndo hajibu kabisa nikampotezea akaenda huko akapata mimba sasa hivi ameshajifungua amekuwa mpole na mnyenyekevu sasa hivi nikiweka WhatsApp status lazima akoment au a reply emoj za kucheka, kwa sasa yupo arusha.Mzee wangu ungejua wanavyoringa kabla ya kuwajaza usingeandikaa huu uzi.
AhaaahaaaaTatizo wanawake wa siku hizi hawajielewi mtu upo naye kwenye mahusiano mara kampost baraka hujakaa sawa amempost james kesho tena anamtakia birthday wishes john hujakaa sawa unasikia safari njema my best friend Peter halafu baaadae anakwambia nna mimba yako nakimbia mbali na namba ya simu nabadilisha kabisa shenzi hawajui kubalance shobo hawajui tuna wachora tu wanavyojishau.