Wanaume Mungu anatuona

Wanaume Mungu anatuona

Checnoris

Senior Member
Joined
Aug 21, 2022
Posts
123
Reaction score
269
Nimekaa hospital moja hapa mjini naona wakinamama na mimba zao.

Hakuna hata aliyeambatana na mume au aliyesababisha mimba. Mbaya zaidi wamama Afya hazijakaa vzr kabisa, wako kinyonge nyonge kabisa.

Tujaribu kuwana kaupendo kidogo. Na tujue Wanaume wote na tabia zetu hizi za kutekeleza wenzetu Mungu anatuona
 
Sheria ni kwamba anapoanza clinic ndo unaenda nae ili mpimwe umeme kwa pamoja baada ya hapo ye anabeba mzigo wa mimba, mwanaume unabeba mzigo wa majukumu.
Sio vbaya kwenda nae, lakini mkuu, majukumu hayakusubiri, huo mda akiwa clinic we unatafuta jasho la kula (from mtakula kwa jasho).
Af pia mkuu, hv unajua kisirani cha mjamzito? Hapo unaeza kuta asubuh ameamka ashaanzisha tifu bayaa mwanaume hana hata stim ya kumuangalia usoni
 
Nimekaa hospital moja hapa mjini naona wakinamama na mimba zao.

Hakuna hata aliyeambatana na mume au aliyesababisha mimba. Mbaya zaidi wamama Afya hazijakaa vzr kabisa, wako kinyonge nyonge kabisa.

Tujaribu kuwana kaupendo kidogo. Na tujue Wanaume wote na tabia zetu hizi za kutekeleza wenzetu Mungu anatuona
Acha ujinga wewe hiyo ndio punishment yao kwa kula tunda kama vile ilivyo punishment yetu sie wanaume kuwa tutakula kwa jasho letu
 
Acha ujinga wewe hiyo ndio punishment yao kwa kula tunda kama vile ilivyo punishment yetu sie wanaume kuwa tutakula kwa jasho letu
Ndio mana mnato.mbewa//kuchapiwa
 
Nimekaa hospital moja hapa mjini naona wakinamama na mimba zao.

Hakuna hata aliyeambatana na mume au aliyesababisha mimba. Mbaya zaidi wamama Afya hazijakaa vzr kabisa, wako kinyonge nyonge kabisa.

Tujaribu kuwana kaupendo kidogo. Na tujue Wanaume wote na tabia zetu hizi za kutekeleza wenzetu Mungu anatuona
Hali hiyo inatokana na malezi.

Wasio na malezi hawana mzuka kuwasapoti wenza wao wawapo na mbami
 
🤣🤣🤣 Wee mwanamke ambaye unamtomba wee mwenyewe hawezi kuwa mwanamke mzuri kamwe!
Dah hiyo Hali bana ilinipataga wakati flan nikihisi Pana MTU anampenyezea mbo.o namm napata mzuka hapohapo. Ninachosikitika ni kwamba hapo inamaana MTU una ya umalaya wa kiwango Cha juu kuwahi kutokea

Na hapo ndiyo pale mzinifu ataiana na mzinifu mwenzie
 
Dah hiyo Hali bana ilinipataga wakati flan nikihisi Pana MTU anampenyezea mbo.o namm napata mzuka hapohapo. Ninachosikitika ni kwamba hapo Hali ya umalaya IPO Kwa kiwango Cha juu kuwahi kutokea
Wee kama wao wenyewe hawajionei huruma wee unawaonea huruma ili iweje?
Ila usemalo kweli yaani mie demu nikijua anagegedwa na njemba mwengine ndio nazidi develope feelings kwake.
 
Nimekaa hospital moja hapa mjini naona wakinamama na mimba zao.

Hakuna hata aliyeambatana na mume au aliyesababisha mimba. Mbaya zaidi wamama Afya hazijakaa vzr kabisa, wako kinyonge nyonge kabisa.

Tujaribu kuwana kaupendo kidogo. Na tujue Wanaume wote na tabia zetu hizi za kutekeleza wenzetu Mungu anatuona
Wengi wao wakiwa na mimba huwa wanachakaa na sio kwa vile maisha ni mabovu..

Mwisho siwezi muonea huruma mwanamke Kwa sababu yeyote ile iwe mimba au vinginevyo..

Hustle za mwanaume ni nyingi na zenye maumivu makali kuliko wanawake,hakuna mwanamke anataka kuwa mwanaume ila Kunaaelfu ya wanaume wanajibadilisha kuwa wanawake..
 
Mkuuu unataka tuwaonee huruma IPi?? Na hao uliowaona walikuwa kwenye Hali ya kujufungua au?! Kama ni kwenye mahudhurio ya kawaida ya clinic hamna haja ya mume kuwepo maana anakuwa kwenye majukum mengine yenye kuzalisha pato la familia. Nawaza mtoa Uzi unataka huruma IPi
 
Jaribu kuwauliza nyuki wao wakisha-donate mayai huo ndio mwisho wa maisha yao..., kwahio its just nature; kipindi cha hunters and gatherers wakati huku mama anaongeza idadi ya nguvukazi kule baba anapambana na simba ili kupata swala...

Kwahio huenda mapambano hayajaisha na swala ni mkate wa kila siku na simba ni tozo...., au unadhani uji na mtori vitajileta ?
 
Nimekaa hospital moja hapa mjini naona wakinamama na mimba zao.

Hakuna hata aliyeambatana na mume au aliyesababisha mimba. Mbaya zaidi wamama Afya hazijakaa vzr kabisa, wako kinyonge nyonge kabisa.

Tujaribu kuwana kaupendo kidogo. Na tujue Wanaume wote na tabia zetu hizi za kutekeleza wenzetu Mungu anatuona
Hizo mimba ni za mwezi wa 6
 
Nimekaa hospital moja hapa mjini naona wakinamama na mimba zao.

Hakuna hata aliyeambatana na mume au aliyesababisha mimba. Mbaya zaidi wamama Afya hazijakaa vzr kabisa, wako kinyonge nyonge kabisa.

Tujaribu kuwana kaupendo kidogo. Na tujue Wanaume wote na tabia zetu hizi za kutekeleza wenzetu Mungu anatuona

Wewe ni mwanaume kweli? Kama wewe ndo utaleta chakula nikiwa narudi toka clinic na yeye sawa
 
Nimekaa hospital moja hapa mjini naona wakinamama na mimba zao.

Hakuna hata aliyeambatana na mume au aliyesababisha mimba. Mbaya zaidi wamama Afya hazijakaa vzr kabisa, wako kinyonge nyonge kabisa.

Tujaribu kuwana kaupendo kidogo. Na tujue Wanaume wote na tabia zetu hizi za kutekeleza wenzetu Mungu anatuona
Shida ukienda naye unapimwa ukimwi kwa lazima
 
Nimekaa hospital moja hapa mjini naona wakinamama na mimba zao.

Hakuna hata aliyeambatana na mume au aliyesababisha mimba. Mbaya zaidi wamama Afya hazijakaa vzr kabisa, wako kinyonge nyonge kabisa.

Tujaribu kuwana kaupendo kidogo. Na tujue Wanaume wote na tabia zetu hizi za kutekeleza wenzetu Mungu anatuona
Mungu aliagiza hayo? Usimhusishe Mwenyezi Mungu mambo asiyoagiza. Usihofu wanaweza hao, strong women.
 
Hao sio was kuongozana nao waache wapambane, wewe cha msingi pambana kutaguta akitoka huko clinic apoze na chips kavu na mishkaki, ni visirani na wanakera tena makusudi kabisa, Kuna siku nilijifanya kumjali nikamsindikiza, mbona nilimtelekeza clinic nikaondoka zangu ili kupunguza mnuno na kurejesha Amani akakutana na chips mshikak kesi ikaisha
 
Back
Top Bottom