Abu_yazid
JF-Expert Member
- Mar 28, 2014
- 3,435
- 4,255
Tuanze rasmi sasa kutambuanaNdiyo huko kutambuana
Tuanze rasmi sasa kutambuanaNdiyo huko kutambuana
Tuanze rasmi sasa kutambuana
Duh! Mnatusimanga sana ila wanaume tupo tofauti sana. Mwanaume anayejua kama mimi siwezi kukutongoza halafu nikakuuliza vipi jibu langu? najua siku zote mwanamke hawezi kukuambia nimekukubali. kitu kingine huwa nashangaa sana wanaume wenzengu wanaomba mchezo. Unampigia mpenzi wako unamwambia naomba mchezo au kesho tukutane nipige mambo? mimi siwezi hata kesho kutwa. Tukishakuwa wapenzi tu, tayari nakula mzigo. Naweza kukuambia leo tutoke out huko ndiko unakoliwaUmeonaaa eeeh yan mm mwenyewe sipendag huo ushambaaa tena upo sana humu jf
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee yamekuwa hayo yajayo yanafurahisha
Duh! Mnatusimanga sana ila wanaume tupo tofauti sana. Mwanaume anayejua kama mimi siwezi kukutongoza halafu nikakuuliza vipi jibu langu? najua siku zote mwanamke hawezi kukuambia nimekukubali. kitu kingine huwa nashangaa sana wanaume wenzengu wanaomba mchezo. Unampigia mpenzi wako unamwambia naomba mchezo au kesho tukutane nipige mambo? mimi siwezi hata kesho kutwa. Tukishakuwa wapenzi tu, tayari nakula mzigo. Naweza kukuambia leo tutoke out huko ndiko unakoliwa
Kwa nini machizi wa kiume nao wasibakwe na wanawakehao huwa wanabakwa,
Hakika ni uzamani!!!Kwanza kuanza kuuliza," umenikubalia au vipi ombi langu " Ni uzamani kidogo.
we nawe unakuwa kama huelewi, elewa kuwa mwanamke aliumbwa kwa ajili ya mwanaume, naturally, ndio maana mwanaume ndiye anaekutongoza weweKwa nini machizi wa kiume nao wasibakwe na wanawake
Jibu langu vipi?Wanaume wa ajabu sana wengine wanafanya hizo mambo ila wale wanaojifanya wajuaji matusi na kuponda etiii nilkuwa nakujaribu nimeona mwanamke huyu kilazaa hiyo vepeeeee
Yan wanaume wanajionaga miungu watu wakat kwenye k hawana ujanja wowote kutwa kutupondaa oooh tukikubali haraka Malaya tukiwazungusha shida hawaeleweki wanataka nini?
Sasa nasemaje mwanamme unayebwabwaja utahangaika sana wenzako wanatutreat tu wanajilia vizur vya dunia nyaaaaaau kabisaaa
Jibu langu vipi?
Nawasalimu wakuu
Hii imekuwa kero sana jamani yaani wanaume hawajui kucheza na akili zetu(kina-dada)
Mtu anakutongoza leo asubuhi harafu jion anakuuliza "vipi jibu la ombi langu"? sasa hapo ndo unajibu nini kwamba nimekubali au?
Me mwanaume napenda akinitongoza aanze kunitreate kama tayari nimekuwa mtu wake, yaani nialike lunch, dina au hata kama huna uwezo wa kualika sehemu nioneshe tu kunijali siku mpaka siku
Hivyo vitu vingine vinakuja tu! automatically yaani kama nimekuelewa utajua tu wewe sio mpaka uniulize ila kama sijakuelewa nitakuonesha vile vile
Hapo unakuta jamaa kakukomalia eti lile jibu langu vipi, ukisema hapana utaambulia matusi hataree mara ooh! nilikuwa nakutest tu hufai kuwa mtu wangu kwani kutest hiyo veeepeee!!!
Povu ruksa jamani, maana kuna wengine wapo na stress zao huko watataka kuzihamishia kwangu ila mbadilike bandugu
Kwa nini unaniponda kiasi hiki....? Kuwa na huruma basi[emoji134][emoji134][emoji134]Wanaume wa ajabu sana wengine wanafanya hizo mambo ila wale wanaojifanya wajuaji matusi na kuponda etiii nilkuwa nakujaribu nimeona mwanamke huyu kilazaa hiyo vepeeeee
Yan wanaume wanajionaga miungu watu wakat kwenye k hawana ujanja wowote kutwa kutupondaa oooh tukikubali haraka Malaya tukiwazungusha shida hawaeleweki wanataka nini?
Sasa nasemaje mwanamme unayebwabwaja utahangaika sana wenzako wanatutreat tu wanajilia vizur vya dunia nyaaaaaau kabisaaa
Nikilala nakuota wewe, nikitembea nasikia sauti yakoNawasalimu wakuu
Hii imekuwa kero sana jamani yaani wanaume hawajui kucheza na akili zetu(kina-dada)
Mtu anakutongoza leo asubuhi harafu jion anakuuliza "vipi jibu la ombi langu"? sasa hapo ndo unajibu nini kwamba nimekubali au?
Me mwanaume napenda akinitongoza aanze kunitreate kama tayari nimekuwa mtu wake, yaani nialike lunch, dina au hata kama huna uwezo wa kualika sehemu nioneshe tu kunijali siku mpaka siku
Hivyo vitu vingine vinakuja tu! automatically yaani kama nimekuelewa utajua tu wewe sio mpaka uniulize ila kama sijakuelewa nitakuonesha vile vile
Hapo unakuta jamaa kakukomalia eti lile jibu langu vipi, ukisema hapana utaambulia matusi hataree mara ooh! nilikuwa nakutest tu hufai kuwa mtu wangu kwani kutest hiyo veeepeee!!!
Povu ruksa jamani, maana kuna wengine wapo na stress zao huko watataka kuzihamishia kwangu ila mbadilike bandugu
Anaanzaje? Hawajui kuwa kutongoza ni kazi kama kazi nyingne? Hicho nacho ni kipaji nakumbuka kipindi kile cha S.L.P kulikuwa na watu maalumu wa kuandika barua za kutongoza na si kila barua ilipenya. Sasa bi dada jaribu kushawishi njemba moja humu ndani uone ugumu wake.jaribu kutongoza na wewe kama ni virahisi