The Professor
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 2,223
- 4,587
Tunaokoa muda, masuala ya unatongoza demu mwaka mzima ni kama unasomea kozi ya ukocha ni ubwegee, yani unamsumbua mtu wakati huohuo kuna muhuni mwingine anakukaza [emoji37][emoji37][emoji37]
Hebu tuambie mtu mzima wewe unafanye ili mtu ajue upo tayari kwa kuliwaHaaa haaa ni shida , sasa mkuu mtu mzima kusema nimekubali daa Neno gumu hilo vitoto ndiyo husema hivyo huku vinang'ata vidole [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe labda huwa unamuona yeye ndiyo kakuona hapo hapo jibu nimekubali daa jamani si nitakubali mpaka majini na misukule!Ukiwa serious, unatoa jibu sahihi kwa wakati sahihi... Haina haja ya kufichana fichana
Hahahahahahahah hahaWanaume wa ajabu sana wengine wanafanya hizo mambo ila wale wanaojifanya wajuaji matusi na kuponda etiii nilkuwa nakujaribu nimeona mwanamke huyu kilazaa hiyo vepeeeee
Yan wanaume wanajionaga miungu watu wakat kwenye k hawana ujanja wowote kutwa kutupondaa oooh tukikubali haraka Malaya tukiwazungusha shida hawaeleweki wanataka nini?
Sasa nasemaje mwanamme unayebwabwaja utahangaika sana wenzako wanatutreat tu wanajilia vizur vya dunia nyaaaaaau kabisaaa
Unajua watu mliopendana na kuvutiana mapenzi huja automatically labda kama ni mdangaji sasa mie nina safari zangu unanisimamisha jamani kabla hata sijafika niendako SMS vipi jibu langu daa hapanaHebu tuambie mtu mzima wewe unafanye ili mtu ajue upo tayari kwa kuliwa
We unafanyaje??? Hutongozi!?Siku hz kutongoza kupo??
Inategemea na mazingira ambayo mmekutana... Mfano binafsi namueleza mwanamke hisia zangu za mapenzi juu yake baada ya kumfuatilia mara kadhaa...Wewe labda huwa unamuona yeye ndiyo kakuona hapo hapo jibu nimekubali daa jamani si nitakubali mpaka majini na misukule!
[emoji1][emoji1][emoji1]Unajua watu mliopendana na kuvutiana mapenzi huja automatically labda kama ni mdangaji sasa mie nina safari zangu unanisimamisha jamani kabla hata sijafika niendako SMS vipi jibu langu daa hapana
ExactlyWanawake ndio huwa hampo serious... Kwasababu haiwezekani uniambie kwamba upo single halafu nakufuata unaanza kunizungunisha....
AsanteNjoo umsaidie basi!
Hayo mazingira ndiyo yanatakiwa sio kuni approach papo kwa papo majibu no! Hapo umetoka kubwanaga na mtu ghafla mwingine hapana hayo mazingira ndiyo yanatakiwaInategemea na mazingira ambayo mmekutana... Mfano binafsi namueleza mwanamke hisia zangu za mapenzi juu yake baada ya kumfuatilia mara kadhaa...
Na lazima nikuwekee mazingira ya kuhisi juu ya hisia zangu... Sasa kama mazingira ndio hayo, kuna haja gani ya kuniweka benchi miezi na miezi... Wiki moja ama mbili zinatosha kabisa kunipa jibu...
Ndiyo ukweli[emoji23][emoji1][emoji1][emoji1]
Mimi nimekupenda, naomba tuwe wapenzi... Tuwe pamoja na kuweza kufunga ndoa hapo baadaye... Nakuahidi hutojutia kunipenda... Hapo vipi...???Hayo mazingira ndiyo yanatakiwa sio kuni approach papo kwa papo majibu no! Hapo umetoka kubwanaga na mtu ghafla mwingine hapana hayo mazingira ndiyo yanatakiwa
Kukupa jibu hapo hapo siwezi lazima namie nikujue wewe ni nani! Tena habari za kuoa ndiyo mbaya kabisa mtu anaweza kwambia sina mke kabisa kumbe ana mke na watoto 5 nani anataka stress Baba mtu mpeane muda unaweza komaa na mtu kumbe Mme wa mtu mkewe kasafiri au mchumba wa mtu anajiandaa kuoa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ghafla hapatikani yupo honeymoonMimi nimekupenda, naomba tuwe wapenzi... Tuwe pamoja na kuweza kufunga ndoa hapo baadaye... Nakuahidi hutojutia kunipenda... Hapo vipi...???
Kukupa jibu hapo hapo siwezi lazima namie nikujue wewe ni nani! Tena habari za kuoa ndiyo mbaya kabisa mtu anaweza kwambia sina mke kabisa kumbe ana mke na watoto 5 nani anataka stress Baba mtu mpeane muda unaweza komaa na mtu kumbe Mme wa mtu mkewe kasafiri au mchumba wa mtu anajiandaa kuoa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ghafla hapatikani yupo honeymoon
Ndiyo huko kutambuanaLa muhimu ni kutambuana kwanza... Lakini hapa si mume wa mtu wala mchumba wa mtu...