Wanaume msiojua kutongoza mnakera

Wanaume msiojua kutongoza mnakera

Na wale wanaume ambao wakitutongoza na tukawakubalia tu hapo hapo wanaomba mzigo wakome mimi mwanaume akinitongoza nikamkubalia halafu eti siku hiyo hiyo akaniomba mzigo mbona atafurahi na roho yake jinsi nitakavyobadili gia angani
Vipi nikituma Muamala wa M-PESA siku hiyo hiyo uliyonikubalia tongozo langu utaurudisha pia??
Au vepe
 
Nawasalimu wakuu
Hii imekuwa kero sana jamani yaani mwanaume hawajui kucheza na hakili zetu(kina-dada)

Mtu anakutongoza leo asubuhi harafu jion anakuuliza "vipi jibu la ombi langu"? sasa hapo ndo unajibu nini kwamba nimekubali au?

Me mwanaume napenda akinitongoza aanze kunitreate kama tayari nimekuwa mtu wake, yaani nialike lunch, dina au hata kama huna uwezo wa kualika sehemu nioneshe tu kunijari siku mpaka siku

Hivyo vitu vingine vinakuja tu! automatically yaani kama nimekuelewa utajua tu wewe sio mpaka uniulize ila kama sijakuelewa nitakuonesha vile vile

Hapo unakuta jamaa kakukomalia eti lile jibu langu vipi, ukisema hapana utaambilia matusi hataree mara ooh! nilikuwa nakutest tu hufai kuwa mtu wangu kwani kutest hiyo veeepeee!!!

Povu ruksa jamani, maana kuna wengine wapo na stress zao huko watataka kuzihamishia kwangu ila mbadilike bandugu

Ambaye ni mke wangu leo katika mahusiano yetu sikuwahi kumuuliza ombi langu vp na wala hakuniambia kama ombi langu amelikubali, huwa hata mimi mwenyewe sielewi mpaka leo ilikuwaje mpaka tukaoana bila neno la "nimekubali ombi lako" kusemwa.
 
Ambaye ni mke wangu leo katika mahusiano yetu sikuwahi kumuuliza ombi langu vp na wala hakuniambia kama ombi langu amelikubali, huwa hata mimi mwenyewe sielewi mpaka leo ilikuwaje mpaka tukaoana bila neno la "nimekubali ombi lako" kusemwa.
Yaani mapenzi mazuri ya kweli yanakuja tu automatic aiseeee
 
Eti Eeeh!!!
Ndo nipo hivo,Yani nakutake care mpaka unaona kama unachelewa kunipa.Halaf huwa sina haraka.Kuna mdada nilimcare mpaka nampikia,tunaenda Kula chips yai la kitaa,analala hapo pembeni asubuhi kila mtu na majukumu yake.Hakuamini
 
Ndo nipo hivo,Yani nakutake care mpaka unaona kama unachelewa kunipa.Halaf huwa sina haraka.Kuna mdada nilimcare mpaka nampikia,tunaenda Kula chips yai la kitaa,analala hapo pembeni asubuhi kila mtu na majukumu yake.Hakuamini
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji39]
 
Yaani mapenzi mazuri ya kweli yanakuja tu automatic aiseeee

Nikifikiriaga hii incidence huwa sielewagi inawezekanaje, ila viashiria vya kukubaliwa unaviona tu. Ukimwomba kitu mfano mwende sehemu, akusindikize sehemu na excuse zake zinakuwa nadra sana, ujue mwelekeo ni mzuri maana anahitaji muda zaidi na wewe ili akufahamu so, be calm and stay focused.
 
Kwanza mm nikimtokea demu akiniambia tu nimpe muda afikirie atanipa jibu, basi hapo hapo naachana naye namwambia tuachane tu na biashara hiyo, siwezi kusubirishwa nawekwa eti nitapewa jibu, ujinga huo sinaga
 
Nawasalimu wakuu
Hii imekuwa kero sana jamani yaani mwanaume hawajui kucheza na hakili zetu(kina-dada)

Mtu anakutongoza leo asubuhi harafu jion anakuuliza "vipi jibu la ombi langu"? sasa hapo ndo unajibu nini kwamba nimekubali au?

Me mwanaume napenda akinitongoza aanze kunitreate kama tayari nimekuwa mtu wake, yaani nialike lunch, dina au hata kama huna uwezo wa kualika sehemu nioneshe tu kunijari siku mpaka siku

Hivyo vitu vingine vinakuja tu! automatically yaani kama nimekuelewa utajua tu wewe sio mpaka uniulize ila kama sijakuelewa nitakuonesha vile vile

Hapo unakuta jamaa kakukomalia eti lile jibu langu vipi, ukisema hapana utaambilia matusi hataree mara ooh! nilikuwa nakutest tu hufai kuwa mtu wangu kwani kutest hiyo veeepeee!!!

Povu ruksa jamani, maana kuna wengine wapo na stress zao huko watataka kuzihamishia kwangu ila mbadilike bandugu
Hivi bado kuna vijana wanatongoza, mi nilishasahau maana mwanamke unamjengea mazingira fulani mwenyewe anajikuta kagegedwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom