Wanaume msiojua kutongoza mnakera

Wanaume msiojua kutongoza mnakera

Nawasalimu wakuu
Hii imekuwa kero sana jamani yaani wanaume hawajui kucheza na akili zetu(kina-dada)

Mtu anakutongoza leo asubuhi harafu jion anakuuliza "vipi jibu la ombi langu"? sasa hapo ndo unajibu nini kwamba nimekubali au?

Me mwanaume napenda akinitongoza aanze kunitreate kama tayari nimekuwa mtu wake, yaani nialike lunch, dina au hata kama huna uwezo wa kualika sehemu nioneshe tu kunijali siku mpaka siku

Hivyo vitu vingine vinakuja tu! automatically yaani kama nimekuelewa utajua tu wewe sio mpaka uniulize ila kama sijakuelewa nitakuonesha vile vile

Hapo unakuta jamaa kakukomalia eti lile jibu langu vipi, ukisema hapana utaambulia matusi hataree mara ooh! nilikuwa nakutest tu hufai kuwa mtu wangu kwani kutest hiyo veeepeee!!!

Povu ruksa jamani, maana kuna wengine wapo na stress zao huko watataka kuzihamishia kwangu ila mbadilike bandugu
Shule zinafunguliwa Tarehe 8 mwezi ujao.
 
Unatongoza ili iweje!
Mimi huwa natamka haya maneno " naomba tamuuu".
Baada ya muda napiga bakambu.
 
Sasa madem wote ninaowapeleka peleka kizungu zungu kama unavyotaka wewe hua wananitosa, ila wale nao wapeleka kimakonde kama ambavyo hutaki wewe lazima mzigo uliwe...
 
Nawasalimu wakuu
Hii imekuwa kero sana jamani yaani wanaume hawajui kucheza na akili zetu(kina-dada)

Mtu anakutongoza leo asubuhi harafu jion anakuuliza "vipi jibu la ombi langu"? sasa hapo ndo unajibu nini kwamba nimekubali au?

Me mwanaume napenda akinitongoza aanze kunitreate kama tayari nimekuwa mtu wake, yaani nialike lunch, dina au hata kama huna uwezo wa kualika sehemu nioneshe tu kunijali siku mpaka siku

Hivyo vitu vingine vinakuja tu! automatically yaani kama nimekuelewa utajua tu wewe sio mpaka uniulize ila kama sijakuelewa nitakuonesha vile vile

Hapo unakuta jamaa kakukomalia eti lile jibu langu vipi, ukisema hapana utaambulia matusi hataree mara ooh! nilikuwa nakutest tu hufai kuwa mtu wangu kwani kutest hiyo veeepeee!!!

Povu ruksa jamani, maana kuna wengine wapo na stress zao huko watataka kuzihamishia kwangu ila mbadilike bandugu
Kumbe naweza kuanza biashara kabla sijapata leseni!?
 
Kunakutongoza kwa aina nyingi sana.
Kuomba penzi moja kwa moja ni sahihi kulikokupita njia ndefu
 
Wanaume wa ajabu sana wengine wanafanya hizo mambo ila wale wanaojifanya wajuaji matusi na kuponda etiii nilkuwa nakujaribu nimeona mwanamke huyu kilazaa hiyo vepeeeee

Yan wanaume wanajionaga miungu watu wakat kwenye k hawana ujanja wowote kutwa kutupondaa oooh tukikubali haraka Malaya tukiwazungusha shida hawaeleweki wanataka nini?

Sasa nasemaje mwanamme unayebwabwaja utahangaika sana wenzako wanatutreat tu wanajilia vizur vya dunia nyaaaaaau kabisaaa
Wacha buana,umeamua uteme nyongo eti??.
 
Wanaume wa ajabu sana wengine wanafanya hizo mambo ila wale wanaojifanya wajuaji matusi na kuponda etiii nilkuwa nakujaribu nimeona mwanamke huyu kilazaa hiyo vepeeeee
Yan wanaume wanajionaga miungu watu wakat kwenye k hawana ujanja wowote kutwa kutupondaa oooh tukikubali haraka Malaya tukiwazungusha shida hawaeleweki wanataka nini?
Sasa nasemaje mwanamme unayebwabwaja utahangaika sana wenzako wanatutreat tu wanajilia vizur vya dunia nyaaaaaau kabisaaa

Aisee
 
Nami ni single touch double manifestation, hakuna kuchunana bila kwanza kujua matokeo, pesa ngumu at, watafanya ivyo hao wenye pesa za pata potea, sisi tukishatenga 50,000, inatakiwa iclose deal.
 
Wanaume wa ajabu sana wengine wanafanya hizo mambo ila wale wanaojifanya wajuaji matusi na kuponda etiii nilkuwa nakujaribu nimeona mwanamke huyu kilazaa hiyo vepeeeee

Yan wanaume wanajionaga miungu watu wakat kwenye k hawana ujanja wowote kutwa kutupondaa oooh tukikubali haraka Malaya tukiwazungusha shida hawaeleweki wanataka nini?

Sasa nasemaje mwanamme unayebwabwaja utahangaika sana wenzako wanatutreat tu wanajilia vizur vya dunia nyaaaaaau kabisaaa
Endelea kuliwa tu mpaka ujaze coaster mbwa maji mmoja wewe..
 
Kuna akina sie ambao kutongoza hatupendi kabisa yaan ni mwendo wa mialiko ya Kutoana out na ofa ndogo ndogo na kukujal kwa sasa as mpenz mpka unajikuta umekuwa mpenz bila kutongozwa....siku ukianza kulia kuwa mbona sikujal au sikupend ndio hapo nakuuliza lini niliwahi sema nakupenda
Nadhan hii ndio wanapenda mwisho wasiku kuja kutukan wanaume wote.wanagawa k zao kama panya bila hata kutongozwa ngedere mwitu hawa
 
Kwani kusema nimekubali na sijakubali sh ngapi? Yaani mtu kukuelewa hadi akulishe chakula au bia/soda?
Mzee hawa kwa kifupi wengi ni kama omba omba.Wana njaa na tamaa ya vya watu na wakat na wao wanavyo.Ukiwaambia wanajiuza wanakutukana!!
 
Acheni hiz kitu ndo moja ya sababu watu wanaamua kuwabaka au kuvamia vitoto vdogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom