Wanaume mnataka mgundue nini

Wanaume mnataka mgundue nini

Katika mizunguko yangu jana maeneo ya kariakoo katika pilika zangu za hapa na pale kama unavyojua kariakoo na pilika hizi za x mass.

Daaaah si ndio kuna duka moja nimeingia sijaamini nilichokiona.titifortati na baba yangu wa kufikia ana kimwali katoka kukifanyia shopping umri wangu nimejisikia aibu sana kwa hili tukio.kweli kwa umri wa yule mzee wa kuwa na binti wa umri wangu Mimi jamanii.

Ni baba yangu wa kufikia/wakambo hata hivyo ana wake wawili ambae ni mama yangu na mke wake mwingine sasa Ina maana wake wote wawili wameahindwa kumlidhisha au ndio wazimu tu

Wanaume nyingi mungu anawaona.Hapa nilipo nimepanga sitaenda kiwatembelea mpaka ifike miezi mitatu mbele.kwani unataka mgundue nini?
Mima usiseme wanaume.coz unawajumlisha na wale ambao hawana hizo tabia. Sema baba ako wa kambo anatafuta nini.

Real gentlemen hawana tabia za kijinga.
 
Mima usiseme wanaume.coz unawajumlisha na wale ambao hawana hizo tabia. Sema baba ako wa kambo anatafuta nini.

Real gentlemen hawana tabia za kijinga.
Huoni wanaume mwenzio huko juu wanavyosema mwanaume lazima ubadilishe radha hawa wapo kundi gani nao
 
Maisha hupotezi ila cha moto lazima ukione , raha inazidi mpaka unahisi mwili kuishiwa nguvu
ca1c3c942e7f837dc93cb6fc848dc3c2.jpg
mie niwako tuuu ....... Jichunge mama kamwe sipendi ije itokee hii
470cfd88ef0947d8549a2a9cf84ceeb0.jpg
napokua nmekosea ,,wee nifungukie tuuu ,nichane laivu tena kwamakavu laivu ,yote kwayote usikae kimya nikawa MTU wakujiuliza maswal kama huyu chaliii
e7cd5158b33b60ed3f2ff37fa0061a44.jpg
.... Weeee nichane laivu tuuu ili mradi mwisho wasiku mambo yawe yetu yawe hivi
7835b22c8f68074af43b5022953905ad.jpg
we kiboko si kwa mbebisho huu mwenzio hoiiiii hukuu 😉
 
Na unakuta mtu ana mke mzuri tu ndani
Mtihani tunao
Sasa hapo ndio ushangae ukimuangali mke na huo mchepuko mbingu na ardhi ...wananume wanauma na wanawake wanawaka ha ha ha ha haaaaa
 
Kuna mwanaume ana wake 16, lakini kuna siku alishikwa ugoni akiwa na mke wa MTU. Ukweli ni kwamba baadhi ya wanaume wana tabia za jogoo anayetaka kumiliki tetea wote waliopo mtaani.
Kuna usemi eti mwanaume ukimuwekea wanawake mia chagua mzuri kuliko wote bado ataumia kuwaacha wale 99 waliobaki
 
Back
Top Bottom