Wanaume mnaopenda Mpira

Wanaume mnaopenda Mpira

Katika vitu ambavyo wanaume tunafanya na hatupati dhambi ni pamoja na kuangalia mpira

Utakataza vyote lakini sio mpira.
Bora hata pombe tunaweza kuacha lakini sio mpira, unatwanga upepo kwy kinu.
Mpira unaweza kukupelekea kufanya dhambi mfano we ni muislam swala inaweza kukupita kwa kunogewa na mpira tu

Hivyo vitu vinatokea mkuu
 
Mleta mada umeamsha dude yaaan
Courtois
Azp
Luiz
Cahil
Moses
Kante
Bakayoko
Alonso
William
Hazard
Morata
Weleteeeeeeeeeeeee keshioooooo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom