Wanaume mnaofika kileleni mapema mnakera sana

Wanaume mnaofika kileleni mapema mnakera sana

Sawa mkuu tuseme sio kauli ya Trump,but yeyote aliyesema hivyo huoni kama alisema ukweli mchungu kutuhusu Waafrica?Leo kamata simu za mwanaume&mwanamke wa kitanzania ingia phone book search majina ktk kumi wanane utakuta wana No za michepuko inayozidi mitano.

Oh yeah...kilichosemwa ni kina ukweli mwingi tu na nahisi kimesemwa na Waafrika wenyewe lakini wakaamua kumsingizia Trump [kwa sababu pengine walidhani wakisema Trump ndo kasema basi watu watasikiliza].

Kwa hiyo, mimi sikatai uhalali wa kilichosemwa. Nakataa tu watu wanapodai kuwa Trump ndo kasema.

Kwanza, Trump hana time kabisa na Afrika. Pili, hajawahi kabisa kusema hayo. Kusema Trump ndiyo kasema ni uzushi tu.

Na ndiyo maana huwezi kupata chanzo chochote kile kilicho cha uhakika ambacho kiliripoti hiyo habari.
 
Wewe unataka mwanaume afanye kazi ngapi??? Akupe hela na kukuridhisha??? Mwanaume wa kweli anatumia hela yake kupata huduma bora bila kutumia nguvu, haiwezekani mwanamke umpe hela halfu we uwe na kazi ya kumridhisha, ukipewa hela kanunulie Dido zenu si tunafanya mapenzi na nyie kujiridhisha na kuweka kwenye vitabu vya kumbukumbu tu
 
wanawake wenye marambo mnakera sana hamtaki wanaume tusikie raha
 
Jamani mwanaume unatia aibu romans hauwezi, kazi nayo huwezi,ukiingia dakika sifuri chali.

Mapenzi ni raha na sio karaha ya kuchafuana kwa bao la dakika sifuri khaaa stukeni jamanii.
Good sex inatokana Na mwanamke. Hivyo hutimizi majukumu yako. Kumbuka bao la kwanza ni la Mwanaume Na la Pili ni la mwanamke.
 
Muacheni jamani atoe dukuduku lake kuna watu humu humu walitaka kuandamana sababu wamechakachuliwa likes zao sembuse yeye asie fikishwa Kileleni!
 
Tuchukue Hesabu raisi lori la tani Moja linaweza kubeba mchanga wa tani kumi....Ukiona ivyo......................Utamalizia mwenyewe
 
Unapaswa kufahamu yafuatayo:
1. Kuwahi kumaliza ni tatzo, pia kuchelewa kumaliza tatizo. Wewe unachelewa lazima utamuona mwenzio mchovu.
2. Tupo tofaut ktk mihemuko ya mapenzi.
3. Uchu ukizidi sana lazima atawahi.
Npm tukutane tupimane ubavu
 
Unapaswa kufahamu yafuatayo:
1. Kuwahi kumaliza ni tatzo, pia kuchelewa kumaliza tatizo. Wewe unachelewa lazima utamuona mwenzio mchovu.
2. Tupo tofaut ktk mihemuko ya mapenzi.
3. Uchu ukizidi sana lazima atawahi.
Npm tukutane tupimane ubavu
Mwanamke mwenye urka ya ngono its very difficult kuwa mwelewa mkuuu
 
Pole sana, njoo na huku uone kama utapata hizo adha.
 
Nyie mnaomponda mnamfunja moyo, ni wanawake wachache sana wenye huu ujasiri ila naona hatoi tena ushirikiano sababu badala ya kumshauri afanyaje mnamponda!
Kama ni tatizo la mwanaume, wanaume humu kila kukicha kuna wanaolalamika premature ejaculation, mngemjengea mazingira ya kushiriki huu mjadala wake, wengi mngepona, maana mnabadilishana mawazo na mwanamke ambaye ameexperience na kaamua kufunguka.
Ukweli unauma. Wanaume wameumia. Mkatae mkubali mnaupungufu mkubwa wa nguvu za m.bo*.
 
Back
Top Bottom