Wanaume mnaofika kileleni mapema mnakera sana

Wanaume mnaofika kileleni mapema mnakera sana

222009917-indicare-senza-filo-utilizzare-guardare.jpg
 
Achana na hao washamba na wachovu dada, njoo nikupe raha, hutajuta na hongera kwa kuwa muwazi.
 
Mm nawaza Magufuli aanzishe Technical schools nyingi ili tuwe industrial area, ww umekalia kupizi mapema tu
 
Jamani mwanaume unatia aibu romans hauwezi, kazi nayo huwezi,ukiingia dakika sifuri chali.

Mapenzi ni raha na sio karaha ya kuchafuana kwa bao la dakika sifuri khaaa stukeni jamanii.
Bibie hiyo research yako ya kingono umeifanya kwa wanaume wangapi naomba tukutane then ulete mrejesho sio unatoa povu kama umekula fomagold
 
Wewe Ndio Malkia wa nguvu ambaye amekuwa anaongelewa mwezi mzima?
 
Exceptional Lady umenifanya niikumbuke kauli ya Donald Trump kwamba "Waafrika tunachoweza na kuwaza ni ngono na wizi tu".

Hiyo kauli si ya Donald Trump.

Ni uzushi tu wa kwenye mitandao.

Na nina uhakika wa asilimia 1,000 nikikuomba unipe chanzo cha uhakika kuhusu hiyo kauli hutopata na utaishia kupata kiblogu cha masikhara cha Kenya.

Acheni kuamini amini katika uzushi.
 
Jamani mwanaume unatia aibu romans hauwezi, kazi nayo huwezi,ukiingia dakika sifuri chali.

Mapenzi ni raha na sio karaha ya kuchafuana kwa bao la dakika sifuri khaaa stukeni jamanii.
Hii inawatokea wanaume wengi, sioni kama ni tatizo kubwa, maana akimaliza haraka cha kwanza unagongwa cha pili, cha pili lazima kichelewe.
 
Hiyo kauli si ya Donald Trump.

Ni uzushi tu wa kwenye mitandao.

Na nina uhakika wa asilimia 1,000 nikikuomba unipe chanzo cha uhakika kuhusu hiyo kauli hutopata na utaishia kupata kiblogu cha masikhara cha Kenya.

Acheni kuamini amini katika uzushi.
Sawa mkuu tuseme sio kauli ya Trump,but yeyote aliyesema hivyo huoni kama alisema ukweli mchungu kutuhusu Waafrica?Leo kamata simu za mwanaume&mwanamke wa kitanzania ingia phone book search majina ktk kumi wanane utakuta wana No za michepuko inayozidi mitano.
 
Bao la kwanza always lazima liwahi, hio ni kwa almost wanaume wote Mamie, kama na la pili ni hivo hivo basi huyo ni jipu.
Njoo Kwangu, nikupe mautamu
 
Back
Top Bottom