Wanaume mnaofika kileleni mapema mnakera sana

Wanaume mnaofika kileleni mapema mnakera sana

mimi nikishafunga goli ndo mwisho wa mechi.nawekazangu mpira kwapani najiondokea.habari za za kumwaga mapema na kumridhisha mwanamke peleka mahakamani si mnataka haki sawa?
 
Jamani,ukiona hivyo ujue jamaa anakufeel mbaya. Hilo bao lilikuja wakati muafaka kabisa. Wala hakuna tatizo mkuu.
 
Haya malalamiko ndo yanafanya wanaume wengi wasijiamini.Kufika mapema sio tatizo kabisa jamani wanawake tuache kukuza mambo.Mawanaume anayekufeel lazima afike mapema kabsaa.
Tutumie lugha nzuri wakati wa maandalizi.Jamaa afike mapema aanze safari nyingine afike tena na tena.Sasa wewe kafika safari moja ushajinunisha unamlinganisha sijui nani yuleee.Kulalamika ni dalili za kukosa ujuzi.
 
Jamani mwanaume unatia aibu romans hauwezi, kazi nayo huwezi,ukiingia dakika sifuri chali.

Mapenzi ni raha na sio karaha ya kuchafuana kwa bao la dakika sifuri khaaa stukeni jamanii.
mbona tupo mafundi wengi tuu...mie hasa mzee wa maandalizi
 
Ukute mwanamke anaelalamika uko chini mchafu sura mbovu kama gari la mkaa kwanini mwanaume asimwage ndani ya dk 0

Nilitegemea kama mazingira ni mabaya kama ulivyoyataja hapo juu, msingeweza kumwaga kabisa na zoezi lingesitishwa.......
 
sio wote wanacome mara moja nanii. Wengine shauri ya puli tu wakiwa madent
 
Tatizo ni sisi kkariri.Kwamba to have S.E.X and to fvck.Hili ni tendo la kushirikiana sio me pekeake apige minnje ndani wewe hurespond.
 
mambo ya hali ya hewa ya jana hiyo.... pole halafu akisha kuchafua analala fofofooo
 
Tatizo ni sisi kkariri.Kwamba to have S.E.X and to fvck.Hili ni tendo la kushirikiana sio me pekeake apige minnje ndani wewe hurespond.
kalala kama gogo hata kutegesha kwenye utamu hawezi ,.. kuna mikao ukikaa pampu tano mzigo huo ila uandae vyema
 
kalala kama gogo hata kutegesha kwenye utamu hawezi ,.. kuna mikao ukikaa pampu tano mzigo huo ila uandae vyema
Asavali ulivyosema wewe. Wanawake wengine mpo Cafe mnakula na vicheko vinawasindikiza na nyuso za furaha, But mkifika "NEC" tu anageuka na kua uso wa Mbuzi, so kwa vyovyote kura haziwezi kutosha tu!!!!
 
Asavali ulivyosema wewe. Wanawake wengine mpo Cafe mnakula na vicheko vinawasindikiza na nyuso za furaha, But mkifika "NEC" tu anageuka na kua uso wa Mbuzi, so kwa vyovyote kura hajiwezi kutosha tu!!!!
ha haha inabidi wabadilike
 
Jamani mwanaume unatia aibu romans hauwezi, kazi nayo huwezi,ukiingia dakika sifuri chali.

Mapenzi ni raha na sio karaha ya kuchafuana kwa bao la dakika sifuri khaaa stukeni jamanii.
sasa sura yako ngumu namna hiyo,kwapa linacheua huku nikiangalia mguu kama wangu,mdomo nao unatema cheche kwanini nisimwage uchafu haraka haraka nilale mbele,umewahi kuona mtu akienda kumwaga taka kwenye jalala jinsi anavyoondoka mbio baada ya kutupa lile fuko lake la taka??
 
Jamani mwanaume unatia aibu romans hauwezi, kazi nayo huwezi,ukiingia dakika sifuri chali.

Mapenzi ni raha na sio karaha ya kuchafuana kwa bao la dakika sifuri khaaa stukeni jamanii.

usiseme tunakera kama nawe huifanyi nafasi yako mapenzi wote muandaane wewe umeganda kama nguruwe mimi nakuingizia tu
 
Jamani mwanaume unatia aibu romans hauwezi, kazi nayo huwezi,ukiingia dakika sifuri chali.

Mapenzi ni raha na sio karaha ya kuchafuana kwa bao la dakika sifuri khaaa stukeni jamanii.
Next time kuwa makini katika uandishi,ROMANS ulimaanisha nini?
 
Back
Top Bottom