Semina inahitajika, mwanaume na mwanamke wako tofauti kabisa ktk kufika kilele. Mwanamke huchelewa kufika na mwanaume ni sekunde tu keshafika. Ujanja tu inahitajika kumwandaa mwanamke kumleta karibu karibu ili mfike wote pamoja. Mwanaume akijinyima kupanda haraka kwa mda mrefu ndivyo pia atakavyo chelewa kukojoa pia. Akipanda km jogoo nayo pia atakojoa fasta fasta hali hiyo ikiendelea baadae anakuwa mvivu na kushindwa kabisa kumridhisha mkewe. Na mwishowe mke huanza kufikiria kumtafuta atakae mtolea nyege zake vizuri na kupona magonjwa yanayoletwa na kupewa penzi nusu nusu na mmewe. Asilimia kubwa ya wanaume ni wavivu au ni wachoyo wa kuwaandaa wake zao wanajijali wao tu ktk mapenzi, wengi pia hudhani mwanamke hakojoi au anadhani pale anapokojoa yeye na mwanamke nae hukojoa papo kwa papo. Wanawake nao wengi huona aibu wanajinyamazia tu. Wafundisheni wapenzi wenu namna utakavoridhika kwa karibu msione aibu. Hata mimi nilifundishwa na mpenzi wangu wa zamani winnie, namna ya kumridhisha lakin kabla ya hapo nilikuwa napanda km jogoo nakukojoa fasta. Nakumbuka alikuwa ananinunia pale tu ninapomalizia kukojoa.