Lupamba's grandson
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 1,230
- 1,199
Basi ukiona hvyo ujue wewe sio mzuri na bila shaka alikupata kwenye mtandao
Wanaume mnashida gani mbona hamueleweki .
Ungemuwasha tu wala asingerudisha, siku nyingine muwashe mwayaYaani ni too much. Natamani hata nimuwashe kibao sema nguvu tu ndo hakuna
Yeah...hahaha Monica is back. Ulimmiss eeh?
mnazo sana nguvu aisee kwani na mie yalishanikuta pale jangwani sea breeze, mtoto katoka kuogelea beach na bikini ya pink kamechisha na sidiria na alikuwa ana mshape balaa, akapita mbele yetu akienda pata rain shower aondoe maji ya chumvi mwilini, na nilikuwa nimekaa na wife tunapata msosi, sielewi kofi lilipotokea kwani niliona nyota mchana mchana, ndo nikastuka kumbe nipo na mai waifu, ilibidi rafiki zangu waangue kichekoYaani ni too much. Natamani hata nimuwashe kibao sema nguvu tu ndo hakuna
Hahahahaha! Safi sanaamnazo sana nguvu aisee kwani na mie yalishanikuta pale jangwani sea breeze, mtoto katoka kuogelea beach na bikini ya pink kamechisha na sidiria na alikuwa ana mshape balaa, akapita mbele yetu akienda pata rain shower aondoe maji ya chumvi mwilini, na nilikuwa nimekaa na wife tunapata msosi, sielewi kofi lilipotokea kwani niliona nyota mchana mchana, ndo nikastuka kumbe nipo na mai waifu, ilibidi rafiki zangu waangue kicheko
Bze na ndoa niniNipo bidada japo naingia kwa beep
Mmmmh! Makubwa moniccca mie
Aspotazama huyo hatari zaidi, aweza fanya kwa kificho au yawezekana anakula na analiwa, wala usishangae mama haya yapo jijini..Pia "Fahari ya macho haifilisi duka.." Una kidume cha mbegu hapo, cha kufanya mfinye au mtanie aache, ni kawaida tu, tena wivu wako ndio utakaokoleza mapenzi, ila usikasirike, na pia unajuwa mara nyingi wanatazama hivyo labda kujuwa kama nguo aliyovaa yule mwanamke utaipenda au la akununulie, au kama unywele umetulia akupeleke saloon nawe usike vile, kuna faida zake mama, punguza munkari..