Ila swisme unanichosha jamanii kaaah yaani nikisomaga coment zko lazima tu nisome na hyo neno chini swis me yaani I CNT help it lazima nisome kama ilivo kwa lemutuzndio nini?
swissme
its about me.Ila swisme unanichosha jamanii kaaah yaani nikisomaga coment zko lazima tu nisome na hyo neno chini swis me yaani I CNT help it lazima nisome kama ilivo kwa lemutuz
do you want toAhhh nimesoma tena stop it bwana
Swismee
WE ARE POLYGAMY IN NATUREBinafsi napata shida sana kuwaelewa wanaume walio wengi.
Unakuta mtu ana mke tena hana kosoro lakini akitokea mwanamke mwingine atatazamwa huyo mpaka utalazimika kusema.
Juzi nilikuwa nakwenda mahali Fulani na mume wangu yeye akiwa anaendesha gari mara tukasimama kwenye zebra kupisha waenda kwa miguu..akapita Dada mmoja mzuri kiasi basi mume wangu alimtazama mpaka alipotokomea.. Haikuishia hapo tulipo fika tulipokuwa tunakwenda muhudumu aliyetuhudumia alikuwa ni mwanamke wakaida tu sana lakini mume wangu alimtazama mara amkonyeze basi fujo tupu mpaka nikaamua kukatisha kinywaji na kuamua kurudi home.
Nawauliza wanaume kwanini mkiona mwanamke udenda unawatoka?
Kwann msiridhike na wapenzi au wake zenu?
Jitathiminini heshima hufuata mkondo.
Nawasilisha.
Ha ha ha ha moniccca, hayo ndo mambo yatokeayo katika ndoa! inabidi uvumilie tuBinafsi napata shida sana kuwaelewa wanaume walio wengi.
Unakuta mtu ana mke tena hana kosoro lakini akitokea mwanamke mwingine atatazamwa huyo mpaka utalazimika kusema.
Juzi nilikuwa nakwenda mahali Fulani na mume wangu yeye akiwa anaendesha gari mara tukasimama kwenye zebra kupisha waenda kwa miguu..akapita Dada mmoja mzuri kiasi basi mume wangu alimtazama mpaka alipotokomea.. Haikuishia hapo tulipo fika tulipokuwa tunakwenda muhudumu aliyetuhudumia alikuwa ni mwanamke wakaida tu sana lakini mume wangu alimtazama mara amkonyeze basi fujo tupu mpaka nikaamua kukatisha kinywaji na kuamua kurudi home.
Nawauliza wanaume kwanini mkiona mwanamke udenda unawatoka?
Kwann msiridhike na wapenzi au wake zenu?
Jitathiminini heshima hufuata mkondo.
Nawasilisha.
unatuuliza unatujua muulize mme wako aliyekonyezaBinafsi napata shida sana kuwaelewa wanaume walio wengi.
Unakuta mtu ana mke tena hana kosoro lakini akitokea mwanamke mwingine atatazamwa huyo mpaka utalazimika kusema.
Juzi nilikuwa nakwenda mahali Fulani na mume wangu yeye akiwa anaendesha gari mara tukasimama kwenye zebra kupisha waenda kwa miguu..akapita Dada mmoja mzuri kiasi basi mume wangu alimtazama mpaka alipotokomea.. Haikuishia hapo tulipo fika tulipokuwa tunakwenda muhudumu aliyetuhudumia alikuwa ni mwanamke wakaida tu sana lakini mume wangu alimtazama mara amkonyeze basi fujo tupu mpaka nikaamua kukatisha kinywaji na kuamua kurudi home.
Nawauliza wanaume kwanini mkiona mwanamke udenda unawatoka?
Kwann msiridhike na wapenzi au wake zenu?
Jitathiminini heshima hufuata mkondo.
Nawasilisha.
Jitahidi uonane na Ras simbaWE ARE POLYGAMY IN NATURE