Wanaume mna shida gani mbona hamueleweki

Wanaume mna shida gani mbona hamueleweki

Binafsi napata shida sana kuwaelewa wanaume walio wengi.

Unakuta mtu ana mke tena hana kosoro lkn akitokea mwanamke mwingine atatazamwa huyo mpaka utalazimika kusema.

Juzi nilikuwa nakwenda mahali Fulani na mume wangu yeye akiwa anaendesha gari mara tukasimama kwenye zebra kupisha waenda kwa miguu..akapita Dada mmoja mzuri kiasi basi mume wangu alimtazama mpaka alipotokomea.. Haikuishia hapo tulipo fika tulipokuwa tunakwenda muhudumu aliyetuhudumia alikuwa ni mwanamke wakaida tu sana lkn mume wangu ali mtazama mara amkonyeze basi fujo tupu mpaka nikaamua kukatisha kinywaji na kuamua kurudi home.

Nawauliza wanaume kwanini mkiona mwanamke udenda unawatoka? Kwann msilidhike na wapenzi au wake zenu?

Jitathiminini heshima ifuata mkondo.

Nawasirisha.
Pole Dada yangu!!mbona hata we we tunakuangalia sana?kuangalia sio kula,kama hivyo ungeliwa na wengi.Nyinyi ni maua yetu na munatofautiana kwa mvuto,basi tunafurahi kuangalia maua pasipo kuyachuma.
 
Binafsi napata shida sana kuwaelewa wanaume walio wengi.

Unakuta mtu ana mke tena hana kosoro lkn akitokea mwanamke mwingine atatazamwa huyo mpaka utalazimika kusema.

Juzi nilikuwa nakwenda mahali Fulani na mume wangu yeye akiwa anaendesha gari mara tukasimama kwenye zebra kupisha waenda kwa miguu..akapita Dada mmoja mzuri kiasi basi mume wangu alimtazama mpaka alipotokomea.. Haikuishia hapo tulipo fika tulipokuwa tunakwenda muhudumu aliyetuhudumia alikuwa ni mwanamke wakaida tu sana lkn mume wangu ali mtazama mara amkonyeze basi fujo tupu mpaka nikaamua kukatisha kinywaji na kuamua kurudi home.

Nawauliza wanaume kwanini mkiona mwanamke udenda unawatoka? Kwann msilidhike na wapenzi au wake zenu?

Jitathiminini heshima ifuata mkondo.

Nawasirisha.
Hivi toka ndoa yenu ishapita wiki ngapi tena?
Naam utanyooka tu.!!
 
Binafsi napata shida sana kuwaelewa wanaume walio wengi.

Unakuta mtu ana mke tena hana kosoro lkn akitokea mwanamke mwingine atatazamwa huyo mpaka utalazimika kusema.

Juzi nilikuwa nakwenda mahali Fulani na mume wangu yeye akiwa anaendesha gari mara tukasimama kwenye zebra kupisha waenda kwa miguu..akapita Dada mmoja mzuri kiasi basi mume wangu alimtazama mpaka alipotokomea.. Haikuishia hapo tulipo fika tulipokuwa tunakwenda muhudumu aliyetuhudumia alikuwa ni mwanamke wakaida tu sana lkn mume wangu ali mtazama mara amkonyeze basi fujo tupu mpaka nikaamua kukatisha kinywaji na kuamua kurudi home.

Nawauliza wanaume kwanini mkiona mwanamke udenda unawatoka? Kwann msilidhike na wapenzi au wake zenu?

Jitathiminini heshima ifuata mkondo.

Nawasirisha.

Correction: Kwanza kabisa, hakuna binadamu asiyekuwa na kasoro. Mungu pekee ndio mkamilifu asiyekuwa na kasoro.

Pili, si wanaume wote wenye tamaa, ambao hawaridhiki na walichonacho. Kama wewe uliamua kukurupuka na kuolewa na mtu usiyemfahamu vizuri tabia yake kwa shauku ya kutaka kutaka kuolewa, basi hilo ni kosa lako, hivyo usituingize sisi wengine tusiohusika kwenye hilo kundi.

Tatu mke mwema anayejiheshimu na kuheshimu ndoa yake, kamwe hawezi kuleta mambo ya ndoa kwenye mitandao. Ndoa ni kitu kitakatifu na chapaswa kuheshimiwa. Kama mna matatizo kwenye ndoa yenu, elezaneni na kuyatatua wenyewe. Ikishindikana mnaweza kupeleka kwa wazazi, wasimamizi wa ndoa, walezi au viongozi wa dini. Lakini wewe umekuwa ukifanya otherwise; wewe umekuwa ukianika siri za ndani ya ndoa yako tokea siku ya kwanza ulipoolewa. Sasa tukiangalia hapo kati ya wewe na yeye, ni nani mwenye kasoro? Toa kwanza boriti iliyoko jichoni mwako, na hivyo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilicho katika jicho la mwenzi wako.
 
Correction: Kwanza kabisa, hakuna binadamu asiyekuwa na kasoro. Mungu pekee ndio mkamilifu asiyekuwa na kasoro.

Pili, si wanaume wote wenye tamaa, ambao hawaridhiki na walichonacho. Kama wewe uliamua kukurupuka na kuolewa na mtu usiyemfahamu vizuri tabia yake kwa shauku ya kutaka kutaka kuolewa, basi hilo ni kosa lako, hivyo usituingize sisi wengine tusiohusika kwenye hilo kundi.

Tatu mke mwema anayejiheshimu na kuheshimu ndoa yake, kamwe hawezi kuleta mambo ya ndoa kwenye mitandao. Ndoa ni kitu kitakatifu na chapaswa kuheshimiwa. Kama mna matatizo kwenye ndoa yenu, elezaneni na kuyatatua wenyewe. Ikishindikana mnaweza kupeleka kwa wazazi, wasimamizi wa ndoa, walezi au viongozi wa dini. Lakini wewe umekuwa ukifanya otherwise; wewe umekuwa ukianika siri za ndani ya ndoa yako tokea siku ya kwanza ulipoolewa. Sasa tukiangalia hapo kati ya wewe na yeye, ni nani mwenye kasoro? Toa kwanza boriti iliyoko jichoni mwako, na hivyo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilicho katika jicho la mwenzi wako.
Sawa mkuu lkn mficha malazi................

Tena mficha uchi...........

Heri niwe muwazi maana ntapata msaada halafu nikitupia habari za ndoa yangu mtandaoni nasikia rahaaa!

Unajua kwann kuolewa ni raha, heshima, na bahati acha niitumie ikienda niikumbuke vizuri,
 
Binafsi napata shida sana kuwaelewa wanaume walio wengi.

Unakuta mtu ana mke tena hana kosoro lkn akitokea mwanamke mwingine atatazamwa huyo mpaka utalazimika kusema.

Juzi nilikuwa nakwenda mahali Fulani na mume wangu yeye akiwa anaendesha gari mara tukasimama kwenye zebra kupisha waenda kwa miguu..akapita Dada mmoja mzuri kiasi basi mume wangu alimtazama mpaka alipotokomea.. Haikuishia hapo tulipo fika tulipokuwa tunakwenda muhudumu aliyetuhudumia alikuwa ni mwanamke wakaida tu sana lkn mume wangu ali mtazama mara amkonyeze basi fujo tupu mpaka nikaamua kukatisha kinywaji na kuamua kurudi home.

Nawauliza wanaume kwanini mkiona mwanamke udenda unawatoka? Kwann msilidhike na wapenzi au wake zenu?

Jitathiminini heshima ifuata mkondo.

Nawasirisha.
Kosa ni uumbwaji.. ungekua mbaya nani angepoteza muda kukuangalia...
 
Sawa mkuu lkn mficha malazi................

Tena mficha uchi...........

Heri niwe muwazi maana ntapata msaada halafu nikitupia habari za ndoa yangu mtandaoni nasikia rahaaa!

Unajua kwann kuolewa ni raha, heshima, na bahati acha niitumie ikienda niikumbuke vizuri,

Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.
 
Hiyo ndoa yako haina hata miez mbili ishaanza kuleta mushkeri?
 
Kawaida sana,Hii hutokea sana, Kila Mwanamke ana jambo linalomvutia Mwanaume,
Kingine ambacho wanaume tunapaswa kujifunza ni kwamba unapotoka na Mkeo hakikisha unamwangalia yeye tu! Vinginevyo utakuwa na Case Nyingi sana. Hii imenitokea siku mmoja nipo napata lunch, wakaja wadada wanaotembeza sabuni na vitu vingine, wametukuta hapo yule dada kaja na tabasamu zito kwangu, kasema ananipa zawadi. Huku niliyenaye akiendelea kushangaa na kujiuliza kama wale nawajua au laah! Lakini me nikajibu mpe My wife kapewa yeye, angalau nilimfanya ajisikie kuwa namthamini.
Naweza nisiandike uelewe vizuri, Lakini ukweli ni kwamba ukitoka out na wife wako jitahidi kuonesha unamheshimu, unampenda, unamthamini na kumjali. Unapomwangalia mwanamke mwingine unamfanya ajione hana thamani na huwa wanajisikia vibaya sana, yani kwa mwanamke mwenye hasira unaweza ukachapwa kofi la hatari na atakudharau na hatakuamini tena, tena ole wako unakodolea macho mtoto mwenye boot wakati yeye hana, aaah unamua kisaikolojia kabisa. Please tuoe wanawake tunaowapenda kwa 100% kuepusha tamaa kama hizi.
 
Wanaume tupo kama simba mda wote niwawindaji [emoji249] [emoji249] [emoji249]
 
Binafsi napata shida sana kuwaelewa wanaume walio wengi.

Unakuta mtu ana mke tena hana kosoro lkn akitokea mwanamke mwingine atatazamwa huyo mpaka utalazimika kusema.

Juzi nilikuwa nakwenda mahali Fulani na mume wangu yeye akiwa anaendesha gari mara tukasimama kwenye zebra kupisha waenda kwa miguu..akapita Dada mmoja mzuri kiasi basi mume wangu alimtazama mpaka alipotokomea.. Haikuishia hapo tulipo fika tulipokuwa tunakwenda muhudumu aliyetuhudumia alikuwa ni mwanamke wakaida tu sana lkn mume wangu ali mtazama mara amkonyeze basi fujo tupu mpaka nikaamua kukatisha kinywaji na kuamua kurudi home.

Nawauliza wanaume kwanini mkiona mwanamke udenda unawatoka? Kwann msilidhike na wapenzi au wake zenu?

Jitathiminini heshima ifuata mkondo.

Nawasirisha.
MSILIDHIKE=MSIRIDHIKE
NAWASIRISHA=NAWASILISHA
 
Yaani ni too much. Natamani hata nimuwashe kibao sema nguvu tu ndo hakuna
Shida iko kwa wanawake wenyewe tuu,mwanamke kadri siku zinavyoenda mwanamke hana service ya mwili wake,yupo yupo tu,hajui kujiweka ready kwa mme wake wala hana mvuto,ile dini ya wenzetu ya Kiislamu ni dini ya kutendea viumbe haki sababu inaruhusu mtu kuowa wanawake 4,hapo sasa panakuwa na mizania timilifu.
 
Sawa mkuu lkn mficha malazi................

Tena mficha uchi...........

Heri niwe muwazi maana ntapata msaada halafu nikitupia habari za ndoa yangu mtandaoni nasikia rahaaa!

Unajua kwann kuolewa ni raha, heshima, na bahati acha niitumie ikienda niikumbuke vizuri,

Malazi au maradhi?
 
Mkuu wewe ni mfuasi wa Sheikh Hilal Kipoozeo? Unapenda neema za Allah?
Wewe ni timu wapenda mikia?

Ofukozi uzuri wa nyumba choo. Hata nyumba iwe na finishing nzuri namna gani kama haina choo kizuri hiyo nyumba mimi sikai hata unipe bure.
Naam mambo yote ni ZE NYAMBAZ au ZE BUNYOZ
 
Si uliaga kuondoka...umefungua new ID bado unaipa promo ukaona urudi kuisalimia hii ya nwanzo...
Ww huna cha ndoa....wala gari...wala mme...ila thnx kwa kuandika andika humu chochote kitakchokuijia kichwan unapokuwa unawaza leo niandike upupu gani
Alikua na mme wake yeye alikaa pembeni na mme wake alikua anaendesha halafu wakasimama kwenye ZEBULA KULOSINGI,mumewe akwa anaangalia ZE NYAMBAZ pembeni.
 
Sio sisi dada ni macho. Pia kumbuka kula chakula cha aina moja mfululizo kinakinaisha, hata ingekuwa kuku, walau dagaa mara mojamoja kutafuta apetaiti. Halafu dushe sio chaki useme itapungua.
 
Umeolewa na wakala wa ...... Lundenga...!!!! but usiwe na prassure..... kwani huyo mumeo um emfahamu jana?
 
Mbona kuna wanawake huwa nawasikia wanasema mdada fulani ana shape nzuri? Hivi hizo shape huwa mnazionaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom