Yani nlicheka kuna mtu alinitumia asubuhi 😂😂😂Moyo wangu upo hapa ndani ya zipu... Duuh
sio kwamba tunapenda😂Mwanaume hata kumuangalia mwanamke machoni hawezi masikini 😃
kama izo lipsi ni zako naomba nije nitoe posa samahan lakin !!🤣🤣🤣 halafu mbona amenuna?
what is this!?😂😂😂😂 yan huyo mansi anawaza ngono tu
Shida ni nini sasa 😂sio kwamba tunapenda😂
acha tu nisije andika insha hapa🤣Shida ni nini sasa 😂
So yupo sahihi?Mmoja apo ndo uwo
Mkuu taratibu wakija wenyewe..oohFor the time being, ndoa za waislamu zimekuwa za kipumbavu sana unaweza ukajiuliza hayo yote yanatoka wapi wakati utaratibu wote wa ndoa umeelekezwa kwenye dini?.
Hayo ni matokeo ya kufanya ndoa zikiwa equipped na mafunzo ya makungwi na manyakanga kiasi kwamba utadhani bibi harusi anaenda vitani israel, haya sasa shika mapigo ya moyo yeye moja kwa moja kaenda kukamata silaha ya watu, huyu azizi ana uhakika huyu ni mke wake? sio mamluki kutoka kimboka kweli?.



Moyo wa huyo kaka..sio wa woteKumbe sisi wanaume mioyo yetu iko huku chini![]()
Wana traits kidogo za Usukuma ila hawa ni Wanyamwezi au Waha na ndiyo maana ukitaka nikuue au kukupiga kichapo kitakatifu we niite tu Mnyamwezi uone dozi nitakayokupa.Wewe ukiwaangalia unawaona wako sawa?
Mimi nadhani ni wasukuma
Moyo wangu uko moyoni 😅