Wanaume mna laana

hahaaa kwani shemeji alikuwa hajui kuwa "" Bamdogo nipo Humu Jf "" mpaka hapa kesha nikosa aiseee..
 
Kabisa Mkuu usemacho ni sahihi,Huyu dada ana tatizo na si dogo!!.
 
Usisahau kuleta mrejesho baada ya kazi za mijitu yenye nguvu kukamilika
 
Sawa mama shombeshombe...haya wa PM muende kuna shombeshombe koko
 
mwenye laana baba yako
 
Umekosea kuandika humu utamkosa tu..nayey pengne yupo humu ashaona
 
Ila hili jina la Nancy ni la malaya, wote niliosikia wakiitwa Nancy ni malaya wrote hawafai
 
nakushukuru angalau unafikiria lakini unaandikaga pumba nyingi..,.......niache kwenye mwembe hapo
 
Unashangaa Baba mdogo!!!Mtaani kwetu huku nimepata taarifa za binti niliyekuwa tayari kumwoa Kwa namna yoyote Ile kuwa Baba yake anaipaa.Pamoja na mbinu zoteeee nilizotumia mtoto hatoi namba zake za simu.Unaambiwa watoto wa kike wakiwa wanaguswa na Baba zao huwa huwaambii kitu maisha yao yote
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…