Wanaume mmezidi vurugu

Wanaume mmezidi vurugu

Kwenye maelezo yako sijaona ombi la papuchi, vip huwa hawaombi?
 
Pole sana bibie kwa kusumbuliwa na Marioo, Marioo wana tabu kweli wachane tu hamna namna
 
Njoo kwangu sintakuomba hela nitakupa penzi la dhati na nitakuoa kabisa
 
Humu ndani mu wazima?

Kwanza naomba ieleweke kuwa mimi ni ke. Baada ya kuachwa chali. Nikiwa bado nina mapenzi ya dhati kwa aliyeniacha, niliumia kama mwanamke, nikaomba sana msamaha lakini mwenzangu alinijibu maneno ya kashfa kiasi kwamba naahindwa hata kuyaandika.

Baada ya maneno hayo, niliamua kuwa mtu mpya kabisa. Kwanza nilibadili lifestyle yangu na pia niliamua kujichanganya sana na marafiki. Niliamua kufocus kwenye maisha yangu na kutumia muda mwingi ninapokuwa mwenyewe kusoma na kuongeza maarifa zaidi.

Katika kujichanganya na watu mbalimbali, wameibuka vijana kadhaa walioonyesha interest ya kuwa nami jambo ambalo sijawahi kuliafiki. Wamekuwa karibu wakidhani pengine siku moja nitabadili mawazo.

Jambo la kushangaza sasa, vijana hawa wote, wanaact kama vile ndio tayari mmeanza kujenga future. Mara hoo najenga, tutahamia kwetu nikopeshe basi laki mbili nikamalizie nyumba. Mara hoo mama anaumwa sasa nimechacha pls nisaidie nitakurudishia. Kubwa zaidi hadi aliyenimwaga kwa kashfa naye anapiga kusalimia mara hoo naumwa sina hata pesa.

Mara hoo. Zimekuwa nyingi sana. Unajua mtu huyu ana kazi yake na mbaya zaidi anakupeleka hadi kwa wazazi wake bila ruhusa yako na bado wewe hujawahi kumwomba hata mia. Nyie wanaume badilikeni sasa.

Huku mnapoelekea si pazuri. Mnakua hamna tofauti na wale wadada wanaouza miili yao ili kupata pesa. Nina amini hawa watu hawana hisia na mimi.

Mnakera sana.

Karibuni kwa mapovu.
Mimi ni Me...ila sina tabia mbaya kama hao MALIOO...!! Wanajishusha sana.

Ama pengine una rekodi/historia ya KUHONGA Wanaume hapo awali...!?

Isije kuwa ni tabia yako....may be ex wako anawapa wenzie stori, hivyo wanajaribu kuja kutikisa KIBERITI...

Na kubwa wanatumia UPWEKE ulio nao, wakijua huwezi kujipa STAREHE mwenyewe...!!

Be careful, take care...!!
 
Teh ! Hadi aliekumwaga anakuomba hela mtoto wa kike? Balaa!
Inaelekea we ndiwe uliwazoesha kuwapa hela coz mwanaume km humpagi hela hata wazo la kukukopa hatakumbuka
 
Kwa tafsiri ya moja kwa moja wewe ni jimama, yaani unawanunua vijana wakutombbe kisha unawapa hela. Be careful
 
Mimi ni Me...ila sina tabia mbaya kama hao MALIOO...!! Wanajishusha sana.

Ama pengine una rekodi/historia ya KUHONGA Wanaume hapo awali...!?

Isije kuwa ni tabia yako....may be ex wako anawapa wenzie stori, hivyo wanajaribu kuja kutikisa KIBERITI...

Na kubwa wanatumia UPWEKE ulio nao, wakijua huwezi kujipa STAREHE mwenyewe...!!

Be careful, take care...!!
X hajui kama wapo watu hawa. Yeye anaamini bado nampenda na siwezi kumove on.
 
Swty fanya mpango wa kilo mbili ntakurudishia nkivuna alizeti usimwambie precious nimekukopa lov uuuuuu
 
Teh ! Hadi aliekumwaga anakuomba hela mtoto wa kike? Balaa!
Inaelekea we ndiwe uliwazoesha kuwapa hela coz mwanaume km humpagi hela hata wazo la kukukopa hatakumbuka
Bora hata huyo x tunajuana lifestyles zetu. Mimi nilikula sana zake sana tu. Na hakuwa mtu wa kuomba.
Hawa marioo wapya wanaoibuka hawanijui wala siwajui. Sijui kuhonga mwanaume. Mtu anakazana kukutambulisha alafu aje kwenu next day alafu anasindikiza na maombi ya pesa. Bora hata wangekuwa na hakika nina kazi.
 
Hao sio wanaume bali ni wa kiume tu... Real men halii lii shida ....


Pole kwa kukutana na wa kiume badala ya mwanaume
 
Back
Top Bottom