Wanaume mmezidi vurugu

Wanaume mmezidi vurugu

hizi ni sifa za marioo na sio wanaume

(Jambo la kushangaza sasa, vijana hawa wote, wanaact kama vile ndio tayari mmeanza kujenga future. Mara hoo najenga, tutahamia kwetu nikopeshe basi laki mbili nikamalizie nyumba. Mara hoo mama anaumwa sasa nimechacha pls nisaidie nitakurudishia. Kubwa zaidi hadi aliyenimwaga kwa kashfa naye anapiga kusalimia mara hoo naumwa sina hata pesa.)

usingeandika hii sentensi

(Karibuni kwa mapovu.)[/QUOTE]

 
Ukiona unaombwa sana pesa na kila mwanaume basi jichunguze vizuri inawezekana huna unachovutia wanaume zaidi ya hicho.. Tena hata x wako anakupigia kukuambia shida yake ya pesa!! Badili tabia kama maongezi yako ni kuonesha sana uwezo wako wa kifedha unapokuwa karibu na vidume utakopwa sana tu
True
 
hizi ni sifa za marioo na sio wanaume

(Jambo la kushangaza sasa, vijana hawa wote, wanaact kama vile ndio tayari mmeanza kujenga future. Mara hoo najenga, tutahamia kwetu nikopeshe basi laki mbili nikamalizie nyumba. Mara hoo mama anaumwa sasa nimechacha pls nisaidie nitakurudishia. Kubwa zaidi hadi aliyenimwaga kwa kashfa naye anapiga kusalimia mara hoo naumwa sina hata pesa.)

usingeandika hii sentensi

(Karibuni kwa mapovu.)


[/QUOTE]
Sababu?
 
Humu ndani mu wazima?

Kwanza naomba ieleweke kuwa mimi ni ke. Baada ya kuachwa chali. Nikiwa bado nina mapenzi ya dhati kwa aliyeniacha, niliumia kama mwanamke, nikaomba sana msamaha lakini mwenzangu alinijibu maneno ya kashfa kiasi kwamba naahindwa hata kuyaandika.

Baada ya maneno hayo, niliamua kuwa mtu mpya kabisa. Kwanza nilibadili lifestyle yangu na pia niliamua kujichanganya sana na marafiki. Niliamua kufocus kwenye maisha yangu na kutumia muda mwingi ninapokuwa mwenyewe kusoma na kuongeza maarifa zaidi.

Katika kujichanganya na watu mbalimbali, wameibuka vijana kadhaa walioonyesha interest ya kuwa nami jambo ambalo sijawahi kuliafiki. Wamekuwa karibu wakidhani pengine siku moja nitabadili mawazo.

Jambo la kushangaza sasa, vijana hawa wote, wanaact kama vile ndio tayari mmeanza kujenga future. Mara hoo najenga, tutahamia kwetu nikopeshe basi laki mbili nikamalizie nyumba. Mara hoo mama anaumwa sasa nimechacha pls nisaidie nitakurudishia. Kubwa zaidi hadi aliyenimwaga kwa kashfa naye anapiga kusalimia mara hoo naumwa sina hata pesa.

Mara hoo. Zimekuwa nyingi sana. Unajua mtu huyu ana kazi yake na mbaya zaidi anakupeleka hadi kwa wazazi wake bila ruhusa yako na bado wewe hujawahi kumwomba hata mia. Nyie wanaume badilikeni sasa.

Huku mnapoelekea si pazuri. Mnakua hamna tofauti na wale wadada wanaouza miili yao ili kupata pesa. Nina amini hawa watu hawana hisia na mimi.

Mnakera sana.

Karibuni kwa mapovu.
Pole sana.
Naomba uje kujichanganya kwangu naahid sitokuletea vurugu kma za hao wengne. Ni PM tafadhar
 
Bila shaka ni Wanaume wa dar ,,maana wamikoani hawana uwo ujasiri wa kuomba hela aseee hizi story mkoani bado hazijashamiri,,,lakini pia na wewe izo hela unazo ndo maana unaombwa!! Mapenzi nikusaidia tho ila KUWA MWANGALIFU
 
Wanavyojifanyaga humu wote wanaombwa hela kumbe wengi wao ni marios tu wanatafuta kujisafisha.
 
Samahani, hivi unaposema wanaume bila kua specific katika unachoongea unamanisha wanaume wote including your father, uncles, brothers, ..
Ushauri wa bure try to be specific next time unapoongea mambo kama haya ..vidole kamwe haviwezi kulingana.
 
Sio wanaume wote mkuu. Bila shaka muonekano wako ni wa kiuhongaji ndo maana wanakuomba pesa. Mwanaume mpambanaji hawezi kulialia shida shida kwa mwanamke.
 
Humu ndani mu wazima?

Kwanza naomba ieleweke kuwa mimi ni ke. Baada ya kuachwa chali. Nikiwa bado nina mapenzi ya dhati kwa aliyeniacha, niliumia kama mwanamke, nikaomba sana msamaha lakini mwenzangu alinijibu maneno ya kashfa kiasi kwamba naahindwa hata kuyaandika.

Baada ya maneno hayo, niliamua kuwa mtu mpya kabisa. Kwanza nilibadili lifestyle yangu na pia niliamua kujichanganya sana na marafiki. Niliamua kufocus kwenye maisha yangu na kutumia muda mwingi ninapokuwa mwenyewe kusoma na kuongeza maarifa zaidi.

Katika kujichanganya na watu mbalimbali, wameibuka vijana kadhaa walioonyesha interest ya kuwa nami jambo ambalo sijawahi kuliafiki. Wamekuwa karibu wakidhani pengine siku moja nitabadili mawazo.

Jambo la kushangaza sasa, vijana hawa wote, wanaact kama vile ndio tayari mmeanza kujenga future. Mara hoo najenga, tutahamia kwetu nikopeshe basi laki mbili nikamalizie nyumba. Mara hoo mama anaumwa sasa nimechacha pls nisaidie nitakurudishia. Kubwa zaidi hadi aliyenimwaga kwa kashfa naye anapiga kusalimia mara hoo naumwa sina hata pesa.

Mara hoo. Zimekuwa nyingi sana. Unajua mtu huyu ana kazi yake na mbaya zaidi anakupeleka hadi kwa wazazi wake bila ruhusa yako na bado wewe hujawahi kumwomba hata mia. Nyie wanaume badilikeni sasa.

Huku mnapoelekea si pazuri. Mnakua hamna tofauti na wale wadada wanaouza miili yao ili kupata pesa. Nina amini hawa watu hawana hisia na mimi.

Mnakera sana.

Karibuni kwa mapovu.
Kumbe tuliowah kuachwa tupo wengi, hongera kwa kufanya maamuz magumu ya kuwa wewe peke ako ,Kazan ununue kiwanja ujenge,amini wako yupo tu kuna siku utakutana nae
 
Back
Top Bottom