Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Upooo miss usijaelewa kwa kweli
Nilivyomuelewa wanaume zake wanamfata kwa ajili ya pesa zake kila mwanaume anapenda kumuomba hela
Upooo miss usijaelewa kwa kweli
Jamani wew muache mwenzakoInaonekana ulikua/una tabia ya kuhonga wanaume,
Usijali mrembo, nimeshamuacha! Naona roho imekuuma sanaJamani wew muache mwenzako
Nikimpata mwanamke ambae hapigi mizinga ambayo haina kichwa wala miguu ntampenda mileleHumu ndani mu wazima?
Kwanza naomba ieleweke kuwa mimi ni ke. Baada ya kuachwa chali. Nikiwa bado nina mapenzi ya dhati kwa aliyeniacha, niliumia kama mwanamke, nikaomba sana msamaha lakini mwenzangu alinijibu maneno ya kashfa kiasi kwamba naahindwa hata kuyaandika.
Baada ya maneno hayo, niliamua kuwa mtu mpya kabisa. Kwanza nilibadili lifestyle yangu na pia niliamua kujichanganya sana na marafiki. Niliamua kufocus kwenye maisha yangu na kutumia muda mwingi ninapokuwa mwenyewe kusoma na kuongeza maarifa zaidi.
Katika kujichanganya na watu mbalimbali, wameibuka vijana kadhaa walioonyesha interest ya kuwa nami jambo ambalo sijawahi kuliafiki. Wamekuwa karibu wakidhani pengine siku moja nitabadili mawazo.
Jambo la kushangaza sasa, vijana hawa wote, wanaact kama vile ndio tayari mmeanza kujenga future. Mara hoo najenga, tutahamia kwetu nikopeshe basi laki mbili nikamalizie nyumba. Mara hoo mama anaumwa sasa nimechacha pls nisaidie nitakurudishia. Kubwa zaidi hadi aliyenimwaga kwa kashfa naye anapiga kusalimia mara hoo naumwa sina hata pesa.
Mara hoo. Zimekuwa nyingi sana. Unajua mtu huyu ana kazi yake na mbaya zaidi anakupeleka hadi kwa wazazi wake bila ruhusa yako na bado wewe hujawahi kumwomba hata mia. Nyie wanaume badilikeni sasa.
Huku mnapoelekea si pazuri. Mnakua hamna tofauti na wale wadada wanaouza miili yao ili kupata pesa. Nina amini hawa watu hawana hisia na mimi.
Mnakera sana.
Karibuni kwa mapovu.
Mtu hajui kama nina kazi ama la. Hajui lolote juu yangu. Kakuona saa Tisa lakini saa kumi na moja kapiga simu ya shida lol...Ukiona unaombwa sana pesa na kila mwanaume basi jichunguze vizuri inawezekana huna unachovutia wanaume zaidi ya hicho.. Tena hata x wako anakupigia kukuambia shida yake ya pesa!! Badili tabia kama maongezi yako ni kuonesha sana uwezo wako wa kifedha unapokuwa karibu na vidume utakopwa sana tu
Hujaelewa nini?sijaelewa kwa kweli

Kuwa mwanaume siyo umri.Hii ni mijitu mizima kabisa inayotakiwa kuoa hasa
HahaaaNimekuelewa saana.. wanaume wa hivyo wapo tena wengi tu.
Wachane then keep distance. Nimekusoma kwenye hizo lines nimegundua wewe ni mwanamke unayejielewa saana. Ila usije ukaanza kusema nami nakusandia. Kacomment kangu mwisho wake hapa
Wewe sio wa kunicheka emmy otherwise niambie unafirahi moyo wangu uridhikeHahaaa