Wanaume mmezidi vurugu

Wanaume mmezidi vurugu

Pole sana...
Inasikitisha sana...

Omba Mungu ipo siku utapata unayendana nae...

Ila kwa upande mwingine, ndege hufananao ndiyo huruka pamoja... Inawezekana unatabia zinazopelekea upate watu wa namna hiyo.. Kwa maana ya namna yako...



Cc: mahondaw
 
Wewe sio wa kunicheka emmy otherwise niambie unafirahi moyo wangu uridhike
Mi na wewe tena Kaka Masai huwezi amini nimefurahishwa na maneno yako pale kwenye mstari wa pili kutoka chini.

 
Mi na wewe tena Kaka Masai huwezi amini nimefurahishwa na maneno yako pale kwenye mstari wa pili kutoka chini.

vidume wanataka pesa ya mdada bwana. Sasa ujue haileti maana kuanza kuelezea shida zako

"Najenga nyumba" ili iweje sasa. Tena kwa mtu baki.
 
Mimi mwanaume simpi hata mia yangu labda nimuone anakata roho.
 
vidume wanataka pesa ya mdada bwana. Sasa ujue haileti maana kuanza kuelezea shida zako

"Najenga nyumba" ili iweje sasa. Tena kwa mtu baki.
Ndio hapo sasa. Ila hii inadhihirisha kuwa katika maisha ya kawaida kuna wanaume na vijanaume.
 
Upooo miss u
Nilivyomuelewa wanaume zake wanamfata kwa ajili ya pesa zake kila mwanaume anapenda kumuomba hela
haaa!
ni bahat kubwa sana kumissiwa na wewe
nami nilikumiss pia.

huyu uwa ana wahonga mwenyewe tuu asjitetee.
 
Yaan wanaume wawili tu ndo umeconclude na kusema kwamba wanaume wote tuko hvyo?
 
Ahhh wee nawe labda ni huyo huyo sio wa archuga
 
Humu ndani mu wazima?

Kwanza naomba ieleweke kuwa mimi ni ke. Baada ya kuachwa chali. Nikiwa bado nina mapenzi ya dhati kwa aliyeniacha, niliumia kama mwanamke, nikaomba sana msamaha lakini mwenzangu alinijibu maneno ya kashfa kiasi kwamba naahindwa hata kuyaandika.

Baada ya maneno hayo, niliamua kuwa mtu mpya kabisa. Kwanza nilibadili lifestyle yangu na pia niliamua kujichanganya sana na marafiki. Niliamua kufocus kwenye maisha yangu na kutumia muda mwingi ninapokuwa mwenyewe kusoma na kuongeza maarifa zaidi.

Katika kujichanganya na watu mbalimbali, wameibuka vijana kadhaa walioonyesha interest ya kuwa nami jambo ambalo sijawahi kuliafiki. Wamekuwa karibu wakidhani pengine siku moja nitabadili mawazo.

Jambo la kushangaza sasa, vijana hawa wote, wanaact kama vile ndio tayari mmeanza kujenga future. Mara hoo najenga, tutahamia kwetu nikopeshe basi laki mbili nikamalizie nyumba. Mara hoo mama anaumwa sasa nimechacha pls nisaidie nitakurudishia. Kubwa zaidi hadi aliyenimwaga kwa kashfa naye anapiga kusalimia mara hoo naumwa sina hata pesa.

Mara hoo. Zimekuwa nyingi sana. Unajua mtu huyu ana kazi yake na mbaya zaidi anakupeleka hadi kwa wazazi wake bila ruhusa yako na bado wewe hujawahi kumwomba hata mia. Nyie wanaume badilikeni sasa.

Huku mnapoelekea si pazuri. Mnakua hamna tofauti na wale wadada wanaouza miili yao ili kupata pesa. Nina amini hawa watu hawana hisia na mimi.

Mnakera sana.

Karibuni kwa mapovu.
Ndio maana umedinywa weee halafu umepigwa kibuti maana sio kwa povu hili (kwenye hitimisho)
 
Hiyo ya kuomba laki2 kwa ajil ya kumalzia nyuma sjaielewa
 
Ndio hao hao. MTU hata hujaingia nao kwenye mahusiano wanakuganda kama uko mwanamke peke yako. Ukimkataa anajifanya hajakusikia alafu hapohapo anaanza kutangaza shida.
Huko kungine kote ni zuga hapo ndipo point yako hahahaaaaa pole sana kwanini usingewaambia tu ukweli
 
Humu ndani mu wazima?

Kwanza naomba ieleweke kuwa mimi ni ke. Baada ya kuachwa chali. Nikiwa bado nina mapenzi ya dhati kwa aliyeniacha, niliumia kama mwanamke, nikaomba sana msamaha lakini mwenzangu alinijibu maneno ya kashfa kiasi kwamba naahindwa hata kuyaandika.

Baada ya maneno hayo, niliamua kuwa mtu mpya kabisa. Kwanza nilibadili lifestyle yangu na pia niliamua kujichanganya sana na marafiki. Niliamua kufocus kwenye maisha yangu na kutumia muda mwingi ninapokuwa mwenyewe kusoma na kuongeza maarifa zaidi.

Katika kujichanganya na watu mbalimbali, wameibuka vijana kadhaa walioonyesha interest ya kuwa nami jambo ambalo sijawahi kuliafiki. Wamekuwa karibu wakidhani pengine siku moja nitabadili mawazo.

Jambo la kushangaza sasa, vijana hawa wote, wanaact kama vile ndio tayari mmeanza kujenga future. Mara hoo najenga, tutahamia kwetu nikopeshe basi laki mbili nikamalizie nyumba. Mara hoo mama anaumwa sasa nimechacha pls nisaidie nitakurudishia. Kubwa zaidi hadi aliyenimwaga kwa kashfa naye anapiga kusalimia mara hoo naumwa sina hata pesa.

Mara hoo. Zimekuwa nyingi sana. Unajua mtu huyu ana kazi yake na mbaya zaidi anakupeleka hadi kwa wazazi wake bila ruhusa yako na bado wewe hujawahi kumwomba hata mia. Nyie wanaume badilikeni sasa.

Huku mnapoelekea si pazuri. Mnakua hamna tofauti na wale wadada wanaouza miili yao ili kupata pesa. Nina amini hawa watu hawana hisia na mimi.

Mnakera sana.

Karibuni kwa mapovu.


Umeachika ukiwa kwenye ndoa ama nje ya ndoa ..tusijekuwa tunatoa msaada kwenye uzinzi naomba nijitakase kwa hili...uliolewa ..
 
Humu ndani mu wazima?

Kwanza naomba ieleweke kuwa mimi ni ke. Baada ya kuachwa chali. Nikiwa bado nina mapenzi ya dhati kwa aliyeniacha, niliumia kama mwanamke, nikaomba sana msamaha lakini mwenzangu alinijibu maneno ya kashfa kiasi kwamba naahindwa hata kuyaandika.

Baada ya maneno hayo, niliamua kuwa mtu mpya kabisa. Kwanza nilibadili lifestyle yangu na pia niliamua kujichanganya sana na marafiki. Niliamua kufocus kwenye maisha yangu na kutumia muda mwingi ninapokuwa mwenyewe kusoma na kuongeza maarifa zaidi.

Katika kujichanganya na watu mbalimbali, wameibuka vijana kadhaa walioonyesha interest ya kuwa nami jambo ambalo sijawahi kuliafiki. Wamekuwa karibu wakidhani pengine siku moja nitabadili mawazo.

Jambo la kushangaza sasa, vijana hawa wote, wanaact kama vile ndio tayari mmeanza kujenga future. Mara hoo najenga, tutahamia kwetu nikopeshe basi laki mbili nikamalizie nyumba. Mara hoo mama anaumwa sasa nimechacha pls nisaidie nitakurudishia. Kubwa zaidi hadi aliyenimwaga kwa kashfa naye anapiga kusalimia mara hoo naumwa sina hata pesa.

Mara hoo. Zimekuwa nyingi sana. Unajua mtu huyu ana kazi yake na mbaya zaidi anakupeleka hadi kwa wazazi wake bila ruhusa yako na bado wewe hujawahi kumwomba hata mia. Nyie wanaume badilikeni sasa.

Huku mnapoelekea si pazuri. Mnakua hamna tofauti na wale wadada wanaouza miili yao ili kupata pesa. Nina amini hawa watu hawana hisia na mimi.

Mnakera sana.

Karibuni kwa mapovu.

Awakeri haoo wamestudy tabia yakoo ama wana info za reltnship yakoo pengine ulikuwa mtoaji kwa nia njema kabisa bado jamaa akaenda nje..so soln sikiliza hizo ombi za kila.siku uwezikosa mtu akakuacha salama ...allthe best
 
Back
Top Bottom