Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 166,724
- 185,203
Mi na wewe tena Kaka Masai huwezi amini nimefurahishwa na maneno yako pale kwenye mstari wa pili kutoka chini.Wewe sio wa kunicheka emmy otherwise niambie unafirahi moyo wangu uridhike

Mi na wewe tena Kaka Masai huwezi amini nimefurahishwa na maneno yako pale kwenye mstari wa pili kutoka chini.
![]()
![]()
![]()

vidume wanataka pesa ya mdada bwana. Sasa ujue haileti maana kuanza kuelezea shida zako yaan stori nzima ya huyu sista sjui ana lalamika au anatoa maelezoHujaelewa nini?![]()
Ndio hapo sasa. Ila hii inadhihirisha kuwa katika maisha ya kawaida kuna wanaume na vijanaume.vidume wanataka pesa ya mdada bwana. Sasa ujue haileti maana kuanza kuelezea shida zako
"Najenga nyumba" ili iweje sasa. Tena kwa mtu baki.
haaa!Upooo miss u
Nilivyomuelewa wanaume zake wanamfata kwa ajili ya pesa zake kila mwanaume anapenda kumuomba hela
Ndio maana umedinywa weee halafu umepigwa kibuti maana sio kwa povu hili (kwenye hitimisho)Humu ndani mu wazima?
Kwanza naomba ieleweke kuwa mimi ni ke. Baada ya kuachwa chali. Nikiwa bado nina mapenzi ya dhati kwa aliyeniacha, niliumia kama mwanamke, nikaomba sana msamaha lakini mwenzangu alinijibu maneno ya kashfa kiasi kwamba naahindwa hata kuyaandika.
Baada ya maneno hayo, niliamua kuwa mtu mpya kabisa. Kwanza nilibadili lifestyle yangu na pia niliamua kujichanganya sana na marafiki. Niliamua kufocus kwenye maisha yangu na kutumia muda mwingi ninapokuwa mwenyewe kusoma na kuongeza maarifa zaidi.
Katika kujichanganya na watu mbalimbali, wameibuka vijana kadhaa walioonyesha interest ya kuwa nami jambo ambalo sijawahi kuliafiki. Wamekuwa karibu wakidhani pengine siku moja nitabadili mawazo.
Jambo la kushangaza sasa, vijana hawa wote, wanaact kama vile ndio tayari mmeanza kujenga future. Mara hoo najenga, tutahamia kwetu nikopeshe basi laki mbili nikamalizie nyumba. Mara hoo mama anaumwa sasa nimechacha pls nisaidie nitakurudishia. Kubwa zaidi hadi aliyenimwaga kwa kashfa naye anapiga kusalimia mara hoo naumwa sina hata pesa.
Mara hoo. Zimekuwa nyingi sana. Unajua mtu huyu ana kazi yake na mbaya zaidi anakupeleka hadi kwa wazazi wake bila ruhusa yako na bado wewe hujawahi kumwomba hata mia. Nyie wanaume badilikeni sasa.
Huku mnapoelekea si pazuri. Mnakua hamna tofauti na wale wadada wanaouza miili yao ili kupata pesa. Nina amini hawa watu hawana hisia na mimi.
Mnakera sana.
Karibuni kwa mapovu.
Huko kungine kote ni zuga hapo ndipo point yako hahahaaaaa pole sana kwanini usingewaambia tu ukweliNdio hao hao. MTU hata hujaingia nao kwenye mahusiano wanakuganda kama uko mwanamke peke yako. Ukimkataa anajifanya hajakusikia alafu hapohapo anaanza kutangaza shida.
Achatuyaan stori nzima ya huyu sista sjui ana lalamika au anatoa maelezo
Humu ndani mu wazima?
Kwanza naomba ieleweke kuwa mimi ni ke. Baada ya kuachwa chali. Nikiwa bado nina mapenzi ya dhati kwa aliyeniacha, niliumia kama mwanamke, nikaomba sana msamaha lakini mwenzangu alinijibu maneno ya kashfa kiasi kwamba naahindwa hata kuyaandika.
Baada ya maneno hayo, niliamua kuwa mtu mpya kabisa. Kwanza nilibadili lifestyle yangu na pia niliamua kujichanganya sana na marafiki. Niliamua kufocus kwenye maisha yangu na kutumia muda mwingi ninapokuwa mwenyewe kusoma na kuongeza maarifa zaidi.
Katika kujichanganya na watu mbalimbali, wameibuka vijana kadhaa walioonyesha interest ya kuwa nami jambo ambalo sijawahi kuliafiki. Wamekuwa karibu wakidhani pengine siku moja nitabadili mawazo.
Jambo la kushangaza sasa, vijana hawa wote, wanaact kama vile ndio tayari mmeanza kujenga future. Mara hoo najenga, tutahamia kwetu nikopeshe basi laki mbili nikamalizie nyumba. Mara hoo mama anaumwa sasa nimechacha pls nisaidie nitakurudishia. Kubwa zaidi hadi aliyenimwaga kwa kashfa naye anapiga kusalimia mara hoo naumwa sina hata pesa.
Mara hoo. Zimekuwa nyingi sana. Unajua mtu huyu ana kazi yake na mbaya zaidi anakupeleka hadi kwa wazazi wake bila ruhusa yako na bado wewe hujawahi kumwomba hata mia. Nyie wanaume badilikeni sasa.
Huku mnapoelekea si pazuri. Mnakua hamna tofauti na wale wadada wanaouza miili yao ili kupata pesa. Nina amini hawa watu hawana hisia na mimi.
Mnakera sana.
Karibuni kwa mapovu.
Humu ndani mu wazima?
Kwanza naomba ieleweke kuwa mimi ni ke. Baada ya kuachwa chali. Nikiwa bado nina mapenzi ya dhati kwa aliyeniacha, niliumia kama mwanamke, nikaomba sana msamaha lakini mwenzangu alinijibu maneno ya kashfa kiasi kwamba naahindwa hata kuyaandika.
Baada ya maneno hayo, niliamua kuwa mtu mpya kabisa. Kwanza nilibadili lifestyle yangu na pia niliamua kujichanganya sana na marafiki. Niliamua kufocus kwenye maisha yangu na kutumia muda mwingi ninapokuwa mwenyewe kusoma na kuongeza maarifa zaidi.
Katika kujichanganya na watu mbalimbali, wameibuka vijana kadhaa walioonyesha interest ya kuwa nami jambo ambalo sijawahi kuliafiki. Wamekuwa karibu wakidhani pengine siku moja nitabadili mawazo.
Jambo la kushangaza sasa, vijana hawa wote, wanaact kama vile ndio tayari mmeanza kujenga future. Mara hoo najenga, tutahamia kwetu nikopeshe basi laki mbili nikamalizie nyumba. Mara hoo mama anaumwa sasa nimechacha pls nisaidie nitakurudishia. Kubwa zaidi hadi aliyenimwaga kwa kashfa naye anapiga kusalimia mara hoo naumwa sina hata pesa.
Mara hoo. Zimekuwa nyingi sana. Unajua mtu huyu ana kazi yake na mbaya zaidi anakupeleka hadi kwa wazazi wake bila ruhusa yako na bado wewe hujawahi kumwomba hata mia. Nyie wanaume badilikeni sasa.
Huku mnapoelekea si pazuri. Mnakua hamna tofauti na wale wadada wanaouza miili yao ili kupata pesa. Nina amini hawa watu hawana hisia na mimi.
Mnakera sana.
Karibuni kwa mapovu.