mkubwa simba
JF-Expert Member
- Mar 8, 2013
- 284
- 207
Hahaha umetisha et halafu hana hata hela....Ni 99% watakuambia unataka haki sawa. Umesahau akivua nguo kwenda kuoga anaziacha pale aliposimama tena chini kabisa halafu hana hela hata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watake radhi ndugu zangu! Mbona kila kitu mwatusingizia sie tunadhani hao ni wanaume wa Tanga waliozoea kulelewa
Hili ndilo jibu la Leo ! Ni watoto wetu na wao wanajua sisi ndio walezi waoWanaume kama watoto ujue
My own brand!!
Hujaelewa sijamaanisha hivyo. Majukumu ya mke yanaeleweka lkn kuna vitu vidogo vidogo kama nguo zako chafu unashindwaje kuziweka sehemu husika?Yaani ni jukumu la mume wako kukuhudumia kwa maana ya kazi za ndani?
Huyo mwanaume mnayewekeana hayo shukuru kua nae, ukinipangia majukumu ya jikoni ujue ndoa utaiacha, hayo mambo naweza kuyafanya ninapotaka mimi mwenyewe sio mke anipangie.
Kama una misimamo huo jua mume wako ni kati ya wanaume maboya kule kwetu kanda maalumu.
Hata hivyo nakusifu kwa kuoana na mume wako.
Mimi nimemuoa mke wangu.
ndio maana nimesema waliopita waliona ni kawaida tuu mswaki akiukuta mezani atamtolea mumewe na kuuweka unapostahiri ila kwa zama hizi ndio imekuja kuwa tofauti na hii ni kawaida tu,babu mpaka ananmfulia bibi nguo anajua thamani ya bibi na bibi thamani yake aliitunza kwa kujali thamani ya babu,unatendewa kulinganya na unavyotendaAisee wanaume zao walikua responsible hao unaowaita mama zenu,
Nimeona mifano mingi tu unakuta mwanaume anamfulia mkewe (wakiwa wazee tayari)
Sasa sijui huwa mnawazungumzia mama wapi hao,
Ni hao hao wanaume walikua wanakwenda sokoni na kuwaacha wake zao wapumzike ?
Ama wanaume wapi hao ?
Hili ni jambo dogo tu mtu akishaswaki aweke mswaki unapotakiwa,aweke taulo linapotakiwa,aweke nguo zake kwenye dustbin n.k
Babu yangu mpaka leo anafua nguo na mkewe akiwa hajisikii vizuri anafanya usafi chumbani kwake !
Madai yao tuwalee kama watoto
Cheka tu mpenzi MBITIYAZA hapo akisikia simu inaita yupo bafuni na povu lakini anatoka mkuku mkuku..
Ila kuchukua toothpick hawezi..
Hapa sawa.mapenzi ni njia mbili daima na siyo moja kama wengi wanavyotaka kusema.ndio maana nimesema waliopita waliona ni kawaida tuu mswaki akiukuta mezani atamtolea mumewe na kuuweka unapostahiri ila kwa zama hizi ndio imekuja kuwa tofauti na hii ni kawaida tu,babu mpaka ananmfulia bibi nguo anajua thamani ya bibi na bibi thamani yake aliitunza kwa kujali thamani ya babu,unatendewa kulinganya na unavyotenda
basi huna haja ya kuwa na mume kwa kuwa anayoyafanya mumeo na wewe unaweza kuyafanya,wacha mwanaume akamtafute asiyeweza kuyafanya anayoweza (mwanaume) kuyafanyaWanaohudumia wapo wachache. Wengine wanahudumiana
Haha ujue nimejigongeza mezani kwa ulivyonichekesha. Shikamoo simuCheka tu mpenzi MBITIYAZA hapo akisikia simu inaita yupo bafuni na povu lakini anatoka mkuku mkuku..
Ila kuchukua toothpick hawezi..
Hahaaaa cheka tu mwaya hamna namna.Haha ujue nimejigongeza mezani kwa ulivyonichekesha. Shikamoo simu
shida ya wanawake wa leo you are so fine in judging small issues kuliko mambo makubwa,huwa mnahisi mko sahihi nyie kwanza kuliko mtu mwingine yoyote,unataka upendwe,upewe kila kitu wewe,ufanyiwe yote unayoyakuta kwa jirani na rafiki zako ajabu ni kwamba wewe hutaki na huwezi kufanya hata moja unalotaka ufanyiwe,mahusiano ni kama maji ukiyasafisha na kuyatunza nawe yatakutunza badae utakapo yanywaHapa sawa.mapenzi ni njia mbili daima na siyo moja kama wengi wanavyotaka kusema.
We sio mwanaume, huitwi joseph na wala hauna mke.Mwanaume unatuangusha, maisha ya ndoa sivyo, ni kushirikiana na sio kumfanya mke mtumwa, unashindwa hata kuchukua kijiko jikono? Je kupika, akiugua mke utaajiri mpishi? Jirekebishe
Sent using Jamii Forums mobile app
Utoto kwenye kubembelezwa na kufanyiwa kazi, ila akichelewa kurudi au atoke bila kuaga mpigie simu umuulize au mwambie kwa nini hivi na hivi. Utajibiwa "usinitreat kama mtoto bana, wewe sio mama yangu". NgachokaMadai yao tuwalee kama watoto