Wanaume mamwinyi

Inabidi uolewe na MTU kama baba yako.
Manake kama course umehitimu
 
Ila humu kwenye ID za kujificha ndo mtujue wakinamama tulivyo. Tunacheka usoni moyoni majungu na majanga. Kutujua sisi kazi sana hasa tunapoweka maslahi yetu. Mbele.
 
Usijutie ni jukumu lako kama mke kufanya hivyo, vinginevyo kafanye bundumba nyumbani kwenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi bibie ukisikia mapenzi ndo hayo, mapenzi raha yake ni kwamba lazima mmoja aumie kwa upande wake na kwa wakati wake.

(Sorry kwa hii sentensi ifuatayo maana ni wazazi wetu) inawezekana mama yako alikuwa na hamu ya show sasa kama mzee asingekula usiku huo show asingepata. Ovaa
 
Ila humu kwenye ID za kujificha ndo mtujue wakinamama tulivyo. Tunacheka usoni moyoni majungu na majanga. Kutujua sisi kazi sana hasa tunapoweka maslahi yetu. Mbele.
All in all nyie mnaumuhimu Mkubwa sana kwetu.
 
Na ukiletewa chumvi unaitisha tooth pick
Tena inafaa nikiagiza toothpick washindane kwenda kuleta, nani wa kwanza kuifikia kopo.
Mila na desturi zetu haziruhusu eti mimi baba ninyanyuke na kitambi changu kuacha familia mezani na kufuata chochote jikoni.

Nashukuru Mungu kwa kunipa familia iliyotulia Kiafrika.
 
Mie naamini ukifika muda wa kuoa nitaoa Mke bora...na ubora wake ni pamoja na kuni hudumia sijuhi ndio kupika, kufua na kufanya usafi...
Pia najua Mke wangu hatojuta kuwa na Mimi ila nitamkera sehemu moja tuu...najua utakua na wivu sana.
Sasa hapo kazi IPO.
 
Na ukiletewa chumvi unaitisha tooth pick
Nishagundua una matatizo ya kupangilia nyumba yako

Niko meza ya chakula, toothpick, chumvi, tissue nk ndo mahala pake, sasa nisipoviona na hakuna maji ya kunawa nifanyeje? Niende kutafuta viliko? Na nikikuuliza unakunja mdomo na pua?

HAPANA labda uwe umenioa wewe
 
Hujaelewa mada.
 
Wazee wangu washazeeka hawafanyi ujinga huo



invest what you are willing to lose
 
zamaaani niliwah mfanyia 'mlalamishi'mmoja tukio.....alikuja kuspend weekend home,tangu ijumaa mchana nilipika,vyombo nato naosha,nilifua(zangu na zake)...mwanzo alifikiri tu nabembeleza papa pale mwanzo,kufika jumapili asubuhi akaanza tena kulalamika eti naish kama hakuna mwanamke ndan!!HAMJAWAHI JIELEWA NYIE,inahitaji akili sana kuishi na wanawake!
 
Ile umeamka asubuhi ukawahi sehemu ukamuacha kalala ukirudi jioni hajatandika kitanda, hajaoga kalala kisa haukuwepo ukamuandalia maji utafikiri unaishi na chizi. Wanawake tuna tabu sana.
Ndo tatizo la wanawake ambao hamkufundwa hili,

Mwanamke aliyefundwa unyagoni, mtoto wa waungwana hawezi lalamika kwa mambo ya kipuuuzi kama haya,

Mama yako hamuwekeagi maji ya kuoga baba yako??!
 
Hayo mambo tushazoea kwenye ndoa we r Tanzanian hata usomeje mwanamke lazima mumeo umhudumie kila kitu wengi tunafundishwa hvyoo
Ni jambo la kawaida pia kwetu ukiona ananuna mke hajafundwa au uzungu mwingi

My own brand!!
Well said, tatizo vibinti vya siku hizi havifundwi, mambo ya unyago na makungwi siku hizi hakuna madam!!

Ndo mana vibinti vingi ndoa zinawashinda, akiolewa hata mwaka hamalizi kaachika!!

Hatari sana,
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…