Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,989
- 5,066
kwa sababu nyumbani chakula kinapikwa na house girl, anapika kwa mazoea. Chakula kinakuwa kibayaaa! Kwani mie shamba boy? Yaani nitafute hela na chakula nile kibaya? Ni afadhali baa supu yao tamu, wameitengeneza kwa kuvutia wateja waje na kesho. Ukila mchemsho ndo kabisaaa! Wanawake wenyewe wa siku hizi mnapita magengeni kuagiza chipsi aafu hg ndo unamwambia ampikie baba chakula!