Gracious ....Welcome back.
Kwa kiasi chake. Ukiona mtu anajipenda zaidi ya anavyokipenda kiumbe alichokileta duniani kuna namna hapo.
Baba bora ni yule atalala njaa ila mwanae ale burger. Ila baba bora zaidi ni yule atakayekula barger na mwanae barger.
Msingi wa hoja yako umeujenga katika malalamiko ya matumizi ya pesa ya mume! Kati ya kile akiachacho nyumbani na kile anachotumia yeye.!Hivi umesoma mada ukaelewa?rudia hata mara tatu kusoma uelewe bahati sina nguo chafu leo za kufua
Wewe maharage na ugali wakale boarding school hukoWatoto wanatakiwa wale maharage na ugali ili wakue...
Mkiishi wawili lazima mrekebishane na mkubalianeMsingi wa hoja yako umeujenga katika malalamiko ya matumizi ya pesa ya mume! Kati ya kile akiachacho nyumbani na kile anachotumia yeye.!
Matumizi ya nyumbani yakihusisha mke na watoto.
nilichoeleza mie ni sabbu za wanaume baadhi kutowajibika kwa baadhi ya wanawake waliolewa. Katika hoja yangu kuna baadhi ya sentesi nimeziwekea mabano katika ufafanuzi zaidi. Wa hoja yangu.
kama hukinielewa au umeona nimeenfa kinyume na matarajio ya majibu kwa hoja yako samahani mkuu. Lakini chanzo kikubwa cha kutowajibila kwa wanaume nyumbani ni aina ya Mke aliye naye.!
Natumai nimeeleweka kama una nguo za kufua karibu kwa povu halisi...
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Waanze kuuzoea nyumbani... mtoto atakulaje kuku??Wewe maharage na ugali wakale boarding school huko
Ndiyo unilinde sasa mbona mimi nakulindaga.Halaf nani tutasaidizana humu
wewe usitudanganye bana, hakuna mtu mwenye uwezo afu asipende kuona familia yake inakula vizuri, tatizo wanawake mnapenda maisha ya kwenye tamthilia na icho ndo kinawacostWengi wao wana tabia hiyo yaan nimeona live kabisa mtu anaamka kwake saa tatu anaenda hoteli jiran kunywa chai ni haki hiyo kisa home kuna chai ya rangi ? Si maziwa yanunuliwe mnunue vitafunio mnywe wote,
Nikwambie familia nyingi za kitanzania wanaokula vizuri ni asilimia chache kwa wenye uwezo na wanaojielewa,kuna hawa sasa wana uwezo lakin kula vizuri mwiko,,,kuna ambao uwezo hawana kweli,,,
Chunguza hilo utaniambia
Kwel kbsa maana ww utapika vitu vya ajabuNikikupikia mimii,hta mama yako mzazi hajawah kupika chakula nachopika mie
Unaona mambo yako tunaomba ubadilike uache uhenga wako?Waanze kuuzoea nyumbani... mtoto atakulaje kuku??
Haha ila sometimes mnatuwazia mabaya bwana. Mkiona Hatupo nyumbani mnajua tunatumbua kumbe tumeshidaa na njaa tu.Gracious ....
Na baba asiye bora kabisa ni yule anayeenda kunywa chai ya maziwa wakati watoto nyumbani hata chai hawaijui
wahenga walisema.....(sijui walichokisema)
Nilishuhudia family moja baba ana wake 2, kwa mke mdogo ngano inatumika asubuhi kwa mke mkubwa masikini ya Mungu walieanza naye maisha asubuhi baba anasimama barabarani nakuita wauza viazi na mihogo hata watatu wanashusha pale mizigo yako kwanini asigawe kote kama anawapenda mie penzi haligawanyiki yaani lazma kuna upendeleoWengi wao wana tabia hiyo yaan nimeona live kabisa mtu anaamka kwake saa tatu anaenda hoteli jiran kunywa chai ni haki hiyo kisa home kuna chai ya rangi ? Si maziwa yanunuliwe mnunue vitafunio mnywe wote,
Nikwambie familia nyingi za kitanzania wanaokula vizuri ni asilimia chache kwa wenye uwezo na wanaojielewa,kuna hawa sasa wana uwezo lakin kula vizuri mwiko,,,kuna ambao uwezo hawana kweli,,,
Chunguza hilo utaniambia
Muda mwingine ni woga wao. Wakiona Hatupo nyumbani wanajua tunakula vinono kumbe tumejikalia vijiweni tu tunapiga storiWaanze kuuzoea nyumbani... mtoto atakulaje kuku??
Karibu Rudizi Famu upate Kitimoto safi. ... Karibu Fyatanga upate michemsho na Mbuzi choma. ...Jamani tunajua si % ndogo hivyo duuu
Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Ila nasikia wanaume huwa hamuwezi kuvumilia njaaHaha ila sometimes mnatuwazia mabaya bwana. Mkiona Hatupo nyumbani mnajua tunatumbua kumbe tumeshidaa na njaa tu.
Kuna mmoja alichemsha samaki na magamba yakeYaan mtu hajui kupika chai ya maziwa aacheni visingizio
hakuna ukweli hapo, coz mtu kula hotelin siyo kwamba kakimbia chai ya rangi km unavosema, sema ni ufinyu wa mda tu.Tukisema ukweli tunalalamik??
Yaan mi naona live sio kusimuliwa unakuta familia wana uwezo lakin chakula hakifanani na hiyo nyumba,,,wanakula hovyo hovyo tu ,,, yaan watoto kula pilau mpaka sikukuu na sikukuuNilishuhudia family moja baba ana wake 2, kwa mke mdogo ngano inatumika asubuhi kwa mke mkubwa masikini ya Mungu walieanza naye maisha asubuhi baba anasimama barabarani nakuita wauza viazi na mihogo hata watatu wanashusha pale mizigo yako kwanini asigawe kote kama anawapenda mie penzi haligawanyiki yaani lazma kuna upendeleo
Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Asilimia nyingi tunayowaza ni kweliHaha ila sometimes mnatuwazia mabaya bwana. Mkiona Hatupo nyumbani mnajua tunatumbua kumbe tumeshidaa na njaa tu.
Ni kweli tunatumia nguvu kutafuta lazima tushibe jumlisha sababu za kibailojia.Ila nasikia wanaume huwa hamuwezi kuvumilia njaa